ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Mie nimeuza vitunguu na nyanya. Nililima pale Ilula. Mfuko upo vizuri. Niunganishe apate rahaaaThitaaaaakiii hawana pesaa
Mie nimeuza vitunguu na nyanya. Nililima pale Ilula. Mfuko upo vizuri. Niunganishe apate rahaaaThitaaaaakiii hawana pesaa
Naweka fubaWeka picha
Habari za north KoreaMr shululu
Madomo zege.Kutongoza ni fani. Professional.Hapanaaa mm nasaidia madomo zege
Sasa Rafiki kipenz vijana tuliowakaribisha humu wanataka kutuvunjia heshima.... Waambie heshima ni kitu cha bureLee empire ndo kuwadi eeh!
Neno gani Rafiki kipenzChema neno moja tu na roho yangu itaponaa
ndio mkuuUmeona! Mzee wa Kiduku. Korea.
Mmmh!Kama maji ni uhai zama ziwani mtoni au baharini uone.
Shauri yako! Usijesema kuwa hukuonywa!Kula kwa machoo
Kutoka bungeni
"Deni la Taifa limeongezeka kwa asilimia 9.2 kutoka Shilingi Bilioni 39,274.6 Machi 2016 hadi Shilingi Bilioni 42,883.6 Machi 2017"

Tutawarudishaaa wee waacheeSasa Rafiki kipenz vijana tuliowakaribisha humu wanataka kutuvunjia heshima.... Waambie heshima ni kitu cha bure
#kutoka_bungeni
Wauza mitumba , wauza mbogamboga , mama lishe kupewa vitambulisho maalum

Kodi zitalipwa na kila mtu sasa#kutoka_bungeni
Wauza mitumba , wauza mbogamboga , mama lishe kupewa vitambulisho maalum
Hilo wazo ni zuri, ila hicho kipengele kipewe muda maalumu kila siku. Ili watu wote washiriki kama mada na majadiliano yasiingiliwe na chats zingine. Mjadala ukifungwa ndo chats ziendelee.....Makapuku, sijawahi kuwa na topiki hapa na najifunza. How did I do today (Stupid Criminals hapo juu)? Ni wazo zuri hili au niachane nalo? Ushauri wo wote utasaidia (format, presentation n.k). Bitoz, Obe, Lee...ushauri please.
Nina mawazo mengi hata nafikiria kuanzisha darasa la Falsafa hapa. Kila siku tujadili wazo moja tata la kifalsafa (mf. Wewe ni nani? Tuna haja ya kukiogopa kifo?..). Lengo ni kuipa Makapuku sura mbalimbali. Pamoja sana!
Mafuta ndo tutayasoma nambaKodi zitalipwa na kila mtu sasa
#kutoka_bungeni
“Serikali kutoruhusu usafirishaji wa madini kutoka mgodini na kupeleka moja kwa moja nje ya nchi. Aidha serikali itaanzisha maeneo maalum (clearing houses) katika viwanja vya kimataifa, migodini na kadhalika ambapo madini hayo yatathibitishwa na kupewa kibali cha kusafirisha madini hayo ambapo kitatozwa kodi ya asilimia moja (Clearing fee) ya thamani ya madini hayo"
vema