Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Utayapataje Mzee.....Yana wenyewe mkuu, tena ngozi nyeupe wameweka vibaraka wao!!!......Mukongoman ulikuwa umepotea sana. Kwema? Hujarudi na makinikia za platinum na rare minerals kutoka Congo? Tugawane please!
Matusi hayo mkuuNadhani baada ya karne moja tutakuwa na la kwetu kutoka Zenji hadi Dar..
Please, akija naomba uniambieDada unaitwa kuna mgeni wako
Kwahiyo nipo tofauti na nyie Mkuu?Kuku mgeni hakosi kamba mguuni♂️
♂️
♂️
Kuna vidume vya mbengu vinaomba msaada. Midomo haifunguki. Imejaa mate.Hahahaha
Aaaaaa aaaaa aaaaa.Acha uchakubanga nyumbu ww
Kwani vipi mkuu?Eeeeeeeeh
Mkuu nitakuja hapo ulipo sasa hivii..
Yaaani kule kwetu nilishapigwa chale cha kisogoni mkuu..
Nilikuwa mbali ila nimekuja...
Sure.Another kuku mgeni ama?
X= mara+habahivi kwa nini haupendi shikamoo kaka basi acha nikupe mambo tu
Mzee habari za road licence.X= mara+haba
So xhaba= marahaba
Sijakata bali hujanielewa mamii
Subiri kinakujaaaLeta cheti cha upadirisho
Nalinda empire yangu mkuuNaona anachezea Empire yako
Wala sina presha mkuu..Mamboo? Be careful now. Inaonekana yule jamaa anayemtaka Sakayo amekupandisha presha mkuu. Mpe muda akiona msimamo wa Mrs ata-give up na kwenda zake...
Niaje TEeeeeh!
Nakuona nakuona
Haaaa!Matusi hayo mkuu
Wachina wana kawaida kule kwao kuvunja/bomoa baadhi ya madaraja na flyover na hata maghorofa mfano baada ya miaka 100 na kujenga upya kabisa ili tu kuvipa nguvu viwanda vya vifaa vya ujenzi na kutoa ajira pamoja na kuzungusha pesa
Tutasubiri sana
niwatakie USIKU MWEMA
........
Upo kijanaSubiri kinakujaaa
Sakayo shemejio..Kwani vipi mkuu?
BroohX= mara+haba
So xhaba= marahaba
Sijakata bali hujanielewa mamii