Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Bang Na Expressway
fab2c1cf763370dd02e7532bdccf81b9.jpg
4e1fea6c511dcf33dff95b0de484c3f2.jpg

Ndo lilikuwa likishikilia rekodi ya dunia hadi hapo mwaka 2010 lilipoondolewa kwenye orodha kwa sababu tu halikatizi sehemu yoyote majini(Flyover}
Ni flyover ya njia 6 huko nchini Thailand
Lina urefu wa Km 55
.......
 
Makapuku, sijawahi kuwa na topiki hapa na najifunza. How did I do today (Stupid Criminals hapo juu)? Ni wazo zuri hili au niachane nalo? Ushauri wo wote utasaidia (format, presentation n.k). Bitoz, Obe, Lee...ushauri please.

Nina mawazo mengi hata nafikiria kuanzisha darasa la Falsafa hapa. Kila siku tujadili wazo moja tata la kifalsafa (mf. Wewe ni nani? Tuna haja ya kukiogopa kifo?..). Lengo ni kuipa Makapuku sura mbalimbali. Pamoja sana!

Ni segment nzuri, inavutia! Najua kwa sasa itakuwa na cases nyingi za majuu, ila unaweza saka stupid Criminals wa hapa kwetu au Africa ukichanganya itakuwa poa zaidi. Presentation, iko vizuri sema I'll tufaidi lazima uangalie muda wa kuitupia, depending on your time etc.

Wazo la kifalsafa, limekaa POA. Vipi ikiwa hiki kipengele kinakuja once a week let's say weekends? Ni juu yako kuamua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom