Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,512
- 94,648
Mimi wifi yake!Kwanini sijipendi Mkuu?
Wewe ndiye baba yake sakayo?.. just kidding!
Mimi wifi yake!Kwanini sijipendi Mkuu?
Wewe ndiye baba yake sakayo?.. just kidding!
Na ukame uliotoka nao huko... I can't imagineVya nini sasa ...kitu live bila chengaaa
yaan weweUnbelievable!! Teh teh teh
alikwambia ana ukame TetraNa ukame uliotoka nao huko... I can't imagine
Kwani uongo??alikua anaongea kipindi upo porini mara unachoma mkaa mara kwa nini nakuacha mwenyewe porini ukioa huko je najiamini nini
ukweli kwamba alikua anachoma mkaaKwani uongo??
Vita hainaga droobasi tekaneni Tetra hakuna namna
Siyo kutega nimeongea ukweli toka moyoni Mkuu.Naona unatega
Natambua hilo leo wamekusakama wengiii
Na uzuri mama mchuchu tunakuja na plan B

Nawaona nawaona kaka na dadayaan wewe
Hahahaha mweh!Mie ninaumia kwa mbaalii.
I can see ukame in him, bila chengaalikwambia ana ukame Tetra
Huenda wewe ndiyo umekosea njia Mkuu!Umekoseaa njiaa mkuu
I can see ukame in him, bila chenga
kama alikwambia anao ukame sawaNext time mshauri aende kuchimba gesiukweli kwamba alikua anachoma mkaa
Nikweli..aombe kwa imaniKila aombae hupewa. Ni kweli hii Mama mchungaji?

Dada unaitwa kuna mgeni wakoSiyo kutega nimeongea ukweli toka moyoni Mkuu.
Pia natumai siyo kosa wala nini!
Huyo binti nampenda sana.
Sitojali kapendwa na wangapi wala na nani!
"I will fight and win"
Nakuelewa na nakupenda sana Sakayo
hayo mawazo ujue tetra sio kila mtu ambae yupo porini ni muwindaji au mchoma mkaaNext time mshauri aende kuchimba gesi