Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ulikuwa unampa shedy baby cha afya nnNishasahau
Ulikuwa unampa shedy baby cha afya nnNishasahau
Thubutuuu...Wewe
Hii ilioanza ni nimeipenda sanaMakapuku, sijawahi kuwa na topiki hapa na najifunza. How did I do today (Stupid Criminals hapo juu)? Ni wazo zuri hili au niachane nalo? Ushauri wo wote utasaidia (format, presentation n.k). Bitoz, Obe, Lee...ushauri please.
Nina mawazo mengi hata nafikiria kuanzisha darasa la Falsafa hapa. Kila siku tujadili wazo moja tata la kifalsafa (mf. Wewe ni nani? Tuna haja ya kukiogopa kifo?..). Lengo ni kuipa Makapuku sura mbalimbali. Pamoja sana!
Sijibu sasAakijibu nijulishe
Umeona eeBonge moja la point
leeSijibu sasA
One way hiyo10/Atchafalaya Basin Bridge![]()
![]()
Lipo huko katika jimbo la Louisiana nchini Marekani
Ni mjumuiko wa madaraja yaliyonyooka....Linaziunganisha Baton Rouge na Lafyayette
Lina urefu wa Mita 29,290(km 29)
......
Nitatoa complete signsHeshima yako mkuu
Tunakosa taarifa muhimu katibu
Tetesi za uhamisho
My God....8/Donghai Bridge![]()
![]()
Ni moja kati ya madaraja ya kuvutia zaidi kujengwa baharini
Linaziunganisha Shanghai na Yangshan
Lina urefu wa Km 32.5
.......
Kama we na mkeo mlivyomsaidia Shedede? Track record yako ikoje? Isije ikawa u dalali mzuri wa mademu kumzidi hata Le Mbururaz![]()

Naam shem waneShemela![]()
![]()
Marahaba mwanangu Shunie wa Lee,namshukuru Mungu mzima,wewe je?ubarikiwe mwanangushikamoo mama angu roho yake mukongo mama mchuchu

Shukran kwanza kiongozi
Ni kweli kwa kipindi kirefu umekuwa mchangiajii huru japo hii segment ulishawahi kuintroduce ila ulipobanwa ukaiachia ....shukran kwa kuifufua
Ni jambo zuri kila siku tukiwa na constructive ideas kama lako lengo ni kuifanya kapuku izidi kujikita kileleni
Segment yako sio ya kuiacha muhimu uitafutie mda ambao unaona wewe unakuwa free ....muhimu kufanya kitu toka moyoni pasipo kulazimishwa
Mkuu hilo darasa huru tunaomba wala usisite kutuletea muhimu tupangie mda sahih mfano usiku tunakosa kitu special ....
Kuna vitu kama ULIZA UJIBIWE vikiongezeka itakuwa poa sana
Asante

Njema dear karibu sana mpendwaHabari ya jioni wapendwa poleni na majukumu![]()
![]()

Namuonaaa
NotedThats de point