Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
Rais kaonyesha nia yake ya kufufua shirika letu la ndege ingawa watendandaji, wanasiasa na baadhi ya Watanzania tunamuangusha Rais wetu.
Watendaji wanamuangusha kwa kuwa malalamiko ya wateja yamekuwa mengi sana kuwa uzembe na kutojali muda imeendelea kuwa sehemu ya shirika hili pendwa.
Wanasiasa wanamuangusha kwa propaganda chafu kuwa hakuna shirika la ndege duniani linalotengeneza faida. Hata kama ingekuwa ni kweli hakuna, huwezi kuacha kusafiri eti kwa kuwa kuna basi limepata ajali jana.
Watanzania tunamuangusha Rais kwa kuziamini propaganda chafu. Hata kama ATCL wanapata hasara tukubali hakuna biashara inayoanzaga na mafanikio moja kwa moja. ATCL wamesaidia sana kushusha gharama za usafiri wa ndege, kama huamini linganisha na Precision utaona.
Watendaji wanamuangusha kwa kuwa malalamiko ya wateja yamekuwa mengi sana kuwa uzembe na kutojali muda imeendelea kuwa sehemu ya shirika hili pendwa.
Wanasiasa wanamuangusha kwa propaganda chafu kuwa hakuna shirika la ndege duniani linalotengeneza faida. Hata kama ingekuwa ni kweli hakuna, huwezi kuacha kusafiri eti kwa kuwa kuna basi limepata ajali jana.
Watanzania tunamuangusha Rais kwa kuziamini propaganda chafu. Hata kama ATCL wanapata hasara tukubali hakuna biashara inayoanzaga na mafanikio moja kwa moja. ATCL wamesaidia sana kushusha gharama za usafiri wa ndege, kama huamini linganisha na Precision utaona.