Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Kote amefaulu na kafaulu zaidi kwenye utoaji mikopo kwa wanachuo
AKUNA ANACHO KIPATA ILA HUU MWANZO NAIMANI NAE JAPO ATASHINDWA KWA MTU MMOJA MMOJA ILA WENGI WATAFAIDIKA!!!!Yote hayo yamemsaidia vipu mwananchi alieko Tandahimba?
AKUNA ANACHO KIPATA ILA HUU MWANZO NAIMANI NAE JAPO ATASHINDWA KWA MTU MMOJA MMOJA ILA WENGI WATAFAIDIKA!!!!
JPM CHAPA KAZI WATAELEWA 2
Kuongeza mapato toka billions mpk trillion.. TRA WANALIJUA HILIUmesahau barabara ya Kia mpaka mererani Arusha....Anko Magu oyeeee
RUVUMA ipo tanzania na mafanikio yalio patikana ni yetu soteJe mkoa wa Ruvuma utafaidika vipi na hayo mambo?
RUVUMA ipo tanzania na mafanikio yalio patikana ni yetu sote
Kuna mengine umesahau
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Ajira gani unazungumzia?Kuna mengine umesahau
.kutokutangaza ajira
Ugumu wa maisha kuongezeka Mara dufu
Kufukuza watu kwenye ajira kwa vyeti feki huku bashite akiachwa
Ajira gani unazungumzia?
Ukitoa walimu na madaktari ambao bado nao ni wanaonekana kuwa wengi.
Ajira za kada zingine kwa mashirika ya serikali zinatangazwa kila siku pitia wovuti ya utumishi Mkuu.
Nao tunaambiwa wako kwa process
Mkuu izó c zimeanza mwezi huu mkuu,
Kwan walim ña madaktar hawana umuhim
Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Mbona hizo ni kazi ambazo hata Meya wa Dar angefanya tu bila kuwa na figisu. Rais wa Tanzania anapimwa ufanisi na kazi zilizofanyika Dar?
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Mbona huyo meya alikuwa hajafanya??Mbona hizo ni kazi ambazo hata Meya wa Dar angefanya tu bila kuwa na figisu. Rais wa Tanzania anapimwa ufanisi na kazi zilizofanyika Dar?
Majimbo ndio suluhu ya maendeleo yetu.
Kiwanja cha ndege chato umekisahau hii
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.