SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,896
Amejenga daraja Kigamboni ila kuvuka lazima ulipie.
Amejenga hospitali ya Mloganzila ila ukifa huchukui maiti hadi deni lilipwe.
Ametoa elimu bure ila watoto wake na watoto wa mawaziri wake wanasoma feza boys/girls na st.Francis
Alitumbua wenye vyeti feki kasoro Daudi Albert Bashite.
Amejenga hospitali ya Mloganzila ila ukifa huchukui maiti hadi deni lilipwe.
Ametoa elimu bure ila watoto wake na watoto wa mawaziri wake wanasoma feza boys/girls na st.Francis
Alitumbua wenye vyeti feki kasoro Daudi Albert Bashite.