mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
kwani kuna mtu amesema ni mwanamke?
Kuna mabosi wanaokaba SANA maofisini ili kikusanyike kwa wingi na wao ndo wapige kingi.... Anyway 1.5T unajua zilikwenda wapi?Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Vipi kile kivuko kibovu?Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Kwa hiyo we ni mwanamke?Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Akitoka madarakani ndo pale mtakapoona uovu na ufisadi wa huyu mtu ambao hivi sasa umefichika kwa kuminya uhuru! Mkapa alikuwa nusu ya Magufuli na akaaminisha dunia mzima kwamba yeye ni Mr. Clean! Alipotoka tu madarakani, miezi michache baadae zikagundulika kashfa zifuatazo-Jpm yuko sawa japo somtyme anazingua, lakn angalau wananchi wanatumaini, mikwara yake inasaidia sana kiutendaji..siku akitoka madarakan watamuelewa pale watakapoona mkurugenz anazpiga hela za miradi bila pressure yyte huku akiwachekea, na hawana pa kumshitak, mana aliyeko madarakan ni mdebwedo
Akitoka madarakani ndo pale mtakapoona uovu na ufisadi wa huyu mtu ambao hivi sasa umefichika kwa kuminya uhuru! Mkapa alikuwa nusu ya Magufuli na akaaminisha dunia mzima kwamba yeye ni Mr. Clean! Alipotoka tu madarakani, miezi michache baadae zikagundulika kashfa zifuatazo-
-Radar Scandal
-EPA Scandal
-Meremete, Deep Green, Kagoda
-Kujiuzia mgodi wa makaa ya mawe huko Kiwira
-Kuanzisha kampuni ya Ann Ben wakati akiwa Ikulu
Sasa endeleeni kuhadaika na hizi staili za Magu lakini nae ni mwizi tu!!!
You're very funny unaposema eti Mkapa issues zake nyingo zinahusu purchasing!! Ina maana hufahamu sehemu kubwa ya ufisadi duniani inafanyika kupitia manunuzi?! Unauziwa vipi simu mbovu wakati wewe ni mtaalamu?! Tanzania tuna watalaamu kila idara, na tunapokosa, tunaweza ku-hire mtaalamu temporarily halafu bado kiongozi wizara yake inanunua boti isiyo na viwango halafu unatetea hilo ni jambo la kawaida?!Hayupo kiongozi msafi duniani hapa, hayupo hata mmoja, unamtupia lawama Mkapa lakn issue zake nyingi zinahusu parchasing kitu ambacho hata ww ukienda dukani unaweza uziwa simu mbovu kwa bei ya simu mpya, hyo ni kawaida tu unapokosa umakni na uelewa wa kitu unachokitaka,
na kamwe hauwez kuwa ofisini usijiangalie na ww hiyo haipo, ni fala tu anayeweza fanya kazi kwa maslahi ya wengine bila yeye kujijali, Nyerere alijarbu hilo nowdays watu wanamuona ni kilaza...
Na huwez kuzuia ufisadi na rushwa kwa 100% hilo haliwezekani, utakachofanya ni kufigth ili kupunguza..ni kweli tutayaona maengi akitoka madarakani bado ukweli utabaki palepale jamaa ni jembe na atakumbukwa tuu, somtyme watatamani hata nyakat zake zijirudie...
Labda ww utuletee kiongozi msafi na mwadilifu,
Kama Mbowe tu anakashifa kibao ....
Haya mpe wanachopewa wanaumeUle wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Ivi 1.5 tillioni ilikuwaje