Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Na wewe acha usengerema basiHivi wewe ukiongezwa elf 30 kila mwaka ndo itakufanya uwe na maisha mazuri. Hebu acheni ujinga bana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa watumishi wananielewaKawafanyaje kwani?
Kama mshahara upo unamchokea nini?
Gharama ya kuwa mjinga ni ndogo sana1. Upanuzi wa Airport Mwanza-Kikwete
2. Upanizi wa Airport Dar-Kikwete
3. Rushwa ipo sana tu na leo nimetoa
4. Kazini hakuna nizamu kuna uoga wakutumbuliwa labda kama uoga na nizamu ni kitu komoja
5. Hostel za chuo alianzisha kikwete yoyote ambaye angekuja madarakani zingefanyika
6.Upanuzi wa barabara iyo ipo kwa Tanroads miaka zaidi ya 10 kwenye plan yao yoyote anayeengia alikuwa anafanya
6. ununuzibwa ndege kavunja sheria za ununuzi alitakiwa ashitakiwe
of course umoja wa kiisadifkuvuruga umoja na mshikamano uliokuwepo ili kuendana na "divide and rule policy"
Tatizo hakuna hata pande moja iliyo na nia dhabiti ya kuijenga nchi. Mfano mzuri ni humu jukwaani ni vijembe na matusi tu baina ya hizo pande mbili vilivyo tawala.TANZANIA NI YETU.TUUNGANE KUIJENGA TANZANIA TUSITAFUTE UMAARUFU..ubabe, ushabiki na chuki tuziweke pembeni. TUJENGE TAIF
Ukimwambia ukweli kuwa mkuu nguo uliyovaa imetoboka anachukia, yeye anataka umsifie tu kuwa nguo uliyovaa imekupendeza sana kama malaika hapo atacheka mpaka kile kicheko chake cha kolomijeKama kawaida, siku zote changamoto ndio mwanzo wa mafanikio, Kiukweli hivi karibuni kumezuka mengi sana na kila mtu anaongea lake, wapo wanamlaumu rais magufuli na pia wapo wanao laumu upinzani kwa kile kinachoitwa kutoa siri za taifa,uchochezi na kadhaalika.
Binafsi mimi naona hizi n changamoto kwa rais wetu na anapaswa kuzipokea kwa mikono miwili , muhemiwa rais anapaswa kuyafanyia kazi kwa busara na hekima matatizo yanayojitokeza na sio kuziba ufa kwa matope.anaekwambia umekosea huyo ujue anakupenda. Kadhaalika kwa upande wa upinzani mimi naona ni bora kutumia busara na hikema zaid ya nguvu kwani haiwezekani umtukane dereva au umchome mkuki dereva wakati wewe ni abiria.
TANZANIA NI YETU.TUUNGANE KUIJENGA TANZANIA TUSITAFUTE UMAARUFU..ubabe, ushabiki na chuki tuziweke pembeni. TUJENGE TAIFA
Hivi utawezaje kuwasikiliza kina lissu walioamua kumpokea fisadi na kuanza kumsafisha kwa kumsugua na jiwe ili awe msafi?Tatizo lake haambiliki, hashauriki
Atazidi kuleta hasara siku zote