Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wallah Origi kamprove wrong Kloop. Huyu jamaa klopp alikuwa amwamini kabisa. Kuumia kwa salah imekuwa faraja kwetu. Pia kuumia kw captain imetusaidia sana.

Kweli maajabu yapo duniani.

Ukisikia uchawi ndiyo huu sasa... Yaani kweli mwanaliverpool unashangilia kuumia kwa Salah au Captain.

Hata hiyo jana kazi ya captain hukuiona?
 
Liverpool kapitia njia ngumu sana kufika fainali, nawatakia kila la heri waambulie hata UEFA maana watataabika sana mwaka huu ikiwa hawatabeba kombe lolote
Mpaka hapo hamjabahatisha

Mmestahili, naona mkichukua UCL, maana ndio kombe ambalo inaonesha ni rahis sana kwa liver ,maana mna DNA nalo.

Pia hongeren kwa kurejesha heshima ya EPL, ambayo ilikuwa inafunikwa na watu wawili ,ila wengi walituaminisha ni laliga ambayo naipata kirahisi kupitia azam tv na supersport kifurushi cha 19,000
 
wakati messi hakucheza mechi ya laliga wikiend iliyopita ili kujiandaa na mechi ya liverpool....wao liverpool wanawapumsha salah na filmino kwa kutocheza mechi ya kesho ili kujiandaa na mechi ya wolvers dahhhhhh hii dunia mbona kama inavibrate maana huku sio kuzunguka
mungu wenu wa soka hajawasikia au?
 
Comeback kubwa duniani siku hizi imepata jina
Inaitwa Barcelona Style AU Barcelonization
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom