Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo lenu Munapenda Kukariri kuwa Messi hazuiliki,

Fine VVD hakuwahi kucheza na Messi kwenye Mashindano ya Ulaya ndiyomana Firs Leg akasumbua!

Lakini baada ya kuusoma Mchezo wakaona kumbe ni Wa Kawaida tu! Sasa tazama Jana Walichomfanya.

Halafu Kuwa kwamba Messi ni Jogoo la Shamba haliwezi kuika Ndani ya Anfield.
KASHACHEZA NAE ZIDI YA CELTIC fuatilia na jana walikuwa wanamchezea double sio VVD peke yake
 
Mkuu mimi sikukata tamaa maana mechi niliiona barca wakawaida sana na kweli vijana wamefanya kazi kubwa sana.tumewakalisha barca watu hawaamini this is Liverpool.never give up.
Liverpool ni timu bora sana kwa sasa.

Liverpool ilikuwa na uwezo wa kumfunga Barca nje ndani. Barca ni timu ya kawaida sana kwa sasa.
 
Oòooooh Abbah You are the God! Baba wewe ni Mungu.

You made it happen, Nimeshuhudia tena maajabu ya Instabul kwa mara ya pili tena haya ni makubwa zaidi.

I was down, so desperated hence No Salah, No Firmino😢😢😢 dah niseme nini tena Mungu ukiwa upande wetu.

Surely, Vita ni vya bwana. Madrid here we come. #YNWA #ThisIsLiverpool #Allez
 
Kama mnategemea brighton awaletee epl hapo ndio napozid kusema liverpool mmevurugwa

Klop ana gundu tu, final huwa anazingua toka dortmund

Uefa bado hamjachukua, ila mtashiriki final tu
mnahamisha magoli sasa ni gundu au kule messi hayupo tena hamna pa kushikilia,

kua na maneno ya akiba mpira ni dakika 90+ lolote linawezekana hata huyo citi anaweza dro n.k...
 
Nimefurahi Sana Jana Kushinda, Lakini kilichonisikitisha ni Kitendo cha TAA kupiga Kona iliyozaa goli la 4! Ule ni Uhuni aliowafanyia Barcelona.
Yani beki inataka kujipanga yeye ndiyo kawashtukiza kwa Kona
Giggs aliwai kuwafunga Monaco vile vile mabeki wakiwa wamesinzia....

Luis wa Chelsea aliwai kutufunga i think ni Mignolet kama lile mabeki kipa wakiwa wamensinzia...

hivyo jana th ready to win team won th game...

TAA EVER BLAZINGGGGGGGG
 
Yani hamuchelewi kugeuka

Man, nakumbuka around January or February ulisema TAA is the best RB EPL now, nilikataa kimoyo moyo, nikawa sioni basis za kwa nini awe yeye.

Recently amekuwa na form moja ya ukweli sana, na jana ameendelea kunionesha kwa nini umempa hiyo ranking.

Naendelea kumfatilia aisee, he is a "wonder kid".
 
Nimefurahi Sana Jana Kushinda, Lakini kilichonisikitisha ni Kitendo cha TAA kupiga Kona iliyozaa goli la 4! Ule ni Uhuni aliowafanyia Barcelona.
Yani beki inataka kujipanga yeye ndiyo kawashtukiza kwa Kona
Mzee baba sipati picha furaha yako ya jana kuona come back

Watu wanauliza comeback ya jana na Instbull 2005 ipi ni the bust
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom