Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Mkuu wiki hii utakavyojidai unaweza hata ukamlamba makofi mtu anayesema haogopi majogoo halafu ukamlipaTUNAHITAJI RESPECT TUNAHITAJI HESHIMA


Mkuu wiki hii utakavyojidai unaweza hata ukamlamba makofi mtu anayesema haogopi majogoo halafu ukamlipaTUNAHITAJI RESPECT TUNAHITAJI HESHIMA


Nimeziona Ahsante sana best...GIF nimeshaziweka
Japo sikupenda liverpool waende final ila jana wamekua bora sana...wanacheza dakiki tisin kwa spidi ya hatari sana..wanastahili kubeba hili kombe..kuna muda nikajiuliza hivi timu yangu man utd kuna siku itaweza kucheza mpira wa kasi kma ule wa liverpool jana?
Mkuu don't be excited too much it is easier to beat Ajax than spurs remember the two fantastic previous games you got result out of luck not Class they outclassed you, this time luck and class might be on them, for the Spirit you have shown you deserve the UCL but for it to come early spurs are not good opponents for you guys
Kwamba Man Shit anapigwa nasi tunawachapa madogi pori? We jamaa ntakuachia mchepuko wangu uufanyie Ugwajima wallah
Ilikuwa semi final?
Wewe jamaa mbona mwanaume halafu mbeya sana, acha unafikiHahahahahahahaha mkuu ulikufa moyo kabisaaa mtag yule tarumbeta wa arsenal....
Huyo jamaa mnafiki sana, anauma na kupulizaSio looserpool tena au imebadilika,andika unayoandika kila siku.
Matokeo ya jana yameumbua poor defence ya Barca waliyonayo, wasipofanyia kazi msimu ujao watakuwa Teja hata ndani ya LaligaBarca hawana beki wazuri, wanategemea sana mbele wana washambuliaji wazuri wenye uchu mkubwa wa kufunga
Cha ajabu hata Liverpool hawajakamilika hasa kwa Upande wa Matip, yule jamaa alifaa angeshiriki mashindano ya urembo tu, football ni zero. foul nyingi anazocheza refa angeziona Liver wangekwenda na maji asubuhi na mapema
Kama mnategemea brighton awaletee epl hapo ndio napozid kusema liverpool mmevurugwaKaka hatulikosi hilo
Uwepo hapa Jumapili na mapema kaka
Niliwahi kusema wiki iliyopita kuwa Barca wa kawaida mno, bila Messi au Messi asipokuwa kwenye form au Messi akikatiwa mawasiliano Barca ni Rahisi kuwafunga na one of the Best team in EPL kama LiverpoolMnarudia rudia tu jamani. Kwa walioangalia mpira live, Barca walikuwa kawaida tu ila tatizo alikuwa ni Messi. Hii ilishasemwa vizuri huko nyuma. Ndio maana Liverpool inabidi waombe Messi augue. Walahi nakuambia Barca-Messi is nothing
Naona Liverpool wameufuata ushauri wangu wa kufuata ushauri wa Alisson kumuondoa Barca kwa mara ya Pili. Kwanza akiwa na AS Roma kwenye quarter final na sasa akiwa na Liverpool kwenye semi finalMwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua
Naona ilikuwa mgonjwa kalazwa tu!Wapendwa hapa kuna msiba au kalazwa tu!
Ooooow!!!!!!! Congratulations, you have climbed to the top! Great job!!!Console me please. I am in tears right now cute b






Liverpool bado vinara against Barca kwenye European CompetitionsBarcelona have never eliminated Liverpool from European competition with the Reds unbeaten in four trips to Camp Nou and the only English team to win there.
Hongereni Mkuu.Ndugu zangu Liverpool HALISI Mungu yupo upande wetu!
Tuzidi shikamana tu Klopp ni kocha sahihi kuiongoza Liverpool
Tuzidi waombea Robo na Fimo wawe fit kwa final