Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liva hamna kitu mulee..bado sana kupambana na timu za Spain hata ingekua Sevilla au atm mambo yangekua haya haya tu....

Rudini mkakipige na kina Cardiff cty, Huddersfield na takataka nyingine..

Kawadanganye wasio angalia mpira huko.
 
Barca walizidiwa sana walikuwa wanapata shida kuwakaba wachezaji wa Liverpool ndio maana wachezaji kibao wa barca wamepewa card za njano.

Suarez alikuwa anataka wachezaji wa Liverpool watolewe nje acheze peke yake,refa akampa card.

Sasa yeye anataka wachezaji wa Liverpool wapewe card watoke acheze peke yake.

Kama ndio amriyake wachezaji wote wa Liverpool alikuwa anataka wapewe card nyekundu watolewe acheze peke yake,this bastard is shit.
 
Ebu ingia Goal.Com ss hv kwanza uangalie match statistics u screenshot kisha uambatanishe hapa kisha uone jinsi gani wewe ulivyo kilaza kuliko mimi maana naona unaongea kichuki bila uhalisia
Ndugu yangu katika maprnzi ya soka,pole sana kwa kupoteza mechi dhidi ya Barcelona.Ningependa kuongea machache tu kuhusu analysis yangu kuhusu mchezo wa leo.Barcelona walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kumiliki mpira na kuzuia mashambulizi yaliyofanya na liverpool lakini waliruhusu kushambuliwa kumruhisu liverpool atanuke manake traditionally all liverpool players like to play behind the ball.Walishastudy mechi nyingi za liver na man city na siku zote weakness ya Guardiola ni kumiliki mpira hivyo kuwapa mwanya liver wakushambulie na kukufunga watakavyo kwa mashambulizi ya kustukiza na pia kucheza nyuma ya mpira.Kitendo cha barca akiwa nyumbani kumuanzisha Vidal ilikuwa ni alarm tosha kabisa kwa Klopp kuchange game plan kwa sababu barca wawapo nyumbani huwa ni offensive minded lkn leo waliweka viungo wawili wakabaji kwenye dimba la nyumbani.Kiujumla liverpool hakustukia huo mtego akaingia kichwa kichwa akacheza kama barca walivyotaka acheze kilichotokea umekiona.
 
Wana Liverpool HALISI wenzangu
Msife moyo,soka ndiyo ilivyo!
Matokeo uwajani yamekua machungu sana kwetu sababu vijana walipambana sana!
Wanao itukana team hapa waacheni wafanye hivyo leo ni sikuu kwao!
Vijana wanarudi Anfield kujipanga na mechi ijayo Jumanne
Pia tukumbuke tuna game na NC
In Klopp we trust
 
IMG_5500.JPG

Ni ngumu sana kuja muambia my son miaka ijayo kwa stats hizi tulipoteza game hii!
Hakika team nzuri uwanjani imepoteza mchezo na ndiyo soka tunarudi Anfield kwa mechi ijayo!
 
Barca will shiver? Maana ya shiva ni nini wakuu? Maana humu kunazungumzwa lugha ya kilivapu
Guys dont be surprised kusikia from Xavi, Iniesta or Pique how Mane, Salah, VVD would be suitable to play for th Catalans or even suggesting offer for any of th above is being prepared...


Spain team are masters of mind games using former or current players n thier gossip newspapers just to unsettle our team..

Cant picture th atmosphere for th return game at th Kops...Barca il shiver.
 
Shida hii club ina wajuaji na wapumbavu wengi. Mnahitaji kuhurumiwa tu
Kesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.

Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.

Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.

Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.

Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom