interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Hakucheza chochote barca sema tu walitembelea bahati lkn hata technically bado walishikiliwa na Liverpool kila idara kipindi cha pili
Leo goal yao kubwa ilkua n pts 3 na ndo wamefankiwa.....
Mpira tactees bro....
Ndo maana kocha anakuepo kuelekeza kwmba leo kifanyike nn kulngana na timu 2nayocheza nayo.....
Ingekua mfumo wa barca ni dynamic bas wangepgwa na tim kbao et