Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Katika vitu si sivielewi ni pamoja na Liverpool. Yan mnaamka katika wakati ambao usiotegemewa (kushinda) wakati mwingine mnalala muda usiostahili(kufungwa). Barca kuna kitu mmewafanyia si bure, yan zile fujo wale walevi wa Liverpool walizoenda kufanya kwenye hoteli ya Barca ndio zimewafanya vile. Au walifanya makosa kuwaanzisha Coutinho na Suarez kwa pamoja. Sasa mlishindwa nini kukifanya hiki kule kwao ili kumaliza kazi mapema.? Yan najiuliza maswali mengi bado sipati majibu. Daah mmetushangaza sana wapiga ramli.

It was a magnificent comeback. Congratulations.
AKILI ZA DISMAS TEN NA ZAHERA HIZI
 
Mkuu AROON habari yako bana hahahahahahahahah
Niwape hongera mkuu, mmepambana hadi mwisho, kwasasa mnastahili Taji ,

Nimeamini liver ana spirit au DNA ya UCL

Kuna siku king ngwaba alisema kinachomtesa pep UCL, timu anazopita baada ya barca haina DNA ya UCL, kama angepewa liver huenda kila mwaka angekuwa anaingia fainal ,

All in All , Nawatakia mafanikio mema, Imedhihirika Ukijituma Mungu hakuachi mtupu, Naona Liverpool ikibeba UCL, na kurudi kwenye piki kuliko Manchester ,

Liverpool karudisha heshima ya EPL, laliga ni ligi ya timu mbili zilizokuwa na watu wawili ,basi

Hii laliga ilijificha kwenye kivuli cha watu wawili .
 
Najua Watasema tumebahatisha! Lakini wamesahau hili!

√ Tulimfunga PSG waliyesema hatuchomoki

√ Tulimfunga Napoli Waliyesema hatuchomoki

√ Tulimfunga Bayern Waliyesema hatuchomoki

√ Tulimfunga Barcelona Waliyesema hatuchomomki.

Sasahivi eti wanatutisha kwa Spurs/Ajax alaa!
Mpaka hapo hamjabahatisha

Mmestahili, naona mkichukua UCL, maana ndio kombe ambalo inaonesha ni rahis sana kwa liver ,maana mna DNA nalo.

Pia hongeren kwa kurejesha heshima ya EPL, ambayo ilikuwa inafunikwa na watu wawili ,ila wengi walituaminisha ni laliga ambayo naipata kirahisi kupitia azam tv na supersport kifurushi cha 19,000
 
Nilijuwa tu kuwa huyu jamaa Hawatomuacha Salama! He's no longer our legend! He's a shit


Washabiki wa mpira tunakuwa so emotional, tunafanya kama wale wachezaji ni mali zetu binafsi.

For me, Suarez remains to be one of the persons who made my life good at Liverpool, since he joined, he gave me all he could give until the last day. I consider kwamba ndoa yake na Liverpool haikuwa ya kikristo ya until death do us apart.

Though it was brutal separation, but I still rate him and am happy for what he has accomplished.

We had good time together, no one can take that away. He is happy in his new relationship, we are happy in ours too.
 
LIVERPOOL PLAYER RATINGS VS BARCELONA
Alisson - 9
To keep a clean sheet against Messi, Coutinho, Suarez and Co takes something special, and this wasn't a quiet night for the Brazilian. Alisson was unfazed by the occasion, making five very good saves to deny Barca that all-important away goal.

Alexander-Arnold - 10
Man of the match. The 20-year-old (yes, TWENTY years old) got a standing ovation from all four corners of Anfield as he left the pitch after full time. This was a performance of guts well beyond his years, and his quick thinking from a corner won it for Liverpool. Also made more touches, passes and crosses than any other Liverpool player.

Matip - 9

Outstanding performance, dealing with the occasional Barca onslaught both aerially and on the ground. Bar one yellow card foul, kept Lionel Messi in his pocket.

Van Dijk - 8
Liverpool don't win without this man having a blinder. The Dutchman may have let his compatriot Wijnaldum take the headlines, but again Van Dijk was superior, and a visible calm in the most frenzied environment.

Robertson - 7

Taken off at half-time due to injury after a suspicious collision with Luis Suarez, but set the tone early on with some meaty challenges and tireless running down the flank.

Fabinho - 8

A herculean performance and slowly becoming one of the best defensive midfielders on the continent. Heavily involved in both halves.

Milner - 7

In tears at full time, the midfielder deserved a moment. He won the ball back 13 times, more than any other Liverpool players, and is the engine man for the big occasion.

Henderson - 8

His evening looked to be all over in the first half after a nasty-looking knee injury, but he got up and carried on just how he started, with a relentless energy which was emulated throughout the team. Not a flair player, just does everything right.

Mane - 8

Showed jaw-dropping pace to trouble Barca's back four in the first half, and though he wasn't directly involved in any of the goals, still ran and ran and ran and ran and ran to stretch the Catalans.

Shaqiri - 6

A poor first half and was lucky to avoid a half-time substitution, but showed great resolve in the latter stages and set up Wijnaldum's second to level up the tie.

Origi - 9

Supposedly Liverpool's weak link in the front line, Origi's double comes on a night where he would usually not start. The finish for Liverpool's fourth was by no means simple, swooping as the ball came across him and into the top left corner. He most probably won't start in the final, but this performance will never be forgotten.

Subs

Wijnaldum - 9
Was he rested for Sunday's clash with Wolves? Maybe. But without his sublime contribution, this would have gone the other way. Replacing Robertson at half-time, Wijnaldum brought cool to the midfield, and then there were the goals. His second, a fine leaping header back across the goalkeeper, was stupendous.



When is the Champions League final?
The Champions League final, the 27th in its current format and 64th of Europe's elite-club competition, will take place on June 1, 2019.

Kick-off is at 8pm (BST), 9pm (CEST).
 
Washabiki wa mpira tunakuwa so emotional, tunafanya kama wale wachezaji ni mali zetu binafsi.

For me, Suarez remains to be one of the persons who made my life good at Liverpool, since he joined, he gave me all he could give until the last day. I consider kwamba ndoa yake na Liverpool haikuwa ya kikristo ya until death do us apart.

Though it was brutal separation, but I still rate him and am happy for what he has accomplished.

We had good time together, no one can take that away. He is happy in his new relationship, we are happy in ours too.

Problem is not kuondoka Liverpool, Tokea aondoke Liverpool We loved him as our Legend but the way He celebrated after kutufunga (1st leg) is not a Class.
 
European Football Superpowers!

1091831
 
Problem is not kuondoka Liverpool, Tokea aondoke Liverpool We loved him as our Legend but the way He celebrated after kutufunga (1st leg) is not a Class.

Ni uonevu tu wa sisi washabiki, he has all rights kushangilia, he is no longer one of us.

Sema tunakuwa tu tunataka kuhurumiwa kwa miseries zetu, sisi mbona tukiifunga timu ambayo kuna mchezaji aliyetoka kwetu tunashangilia?

Let it be two way if that is the case, i.e na sisi washabiki tuwe hatushangilii tukizifunga timu zenye wachezaji tuliowauza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom