kichwa mbovu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 706
- 504
Ngoja nikuletee boxer zangu ufue kabisaZa kufulia.
Ngoja nikuletee boxer zangu ufue kabisaZa kufulia.
Kwa kweli tutakoma!!! Mimi Niko poa mtani season hii imenitenda kama wewe ile 2017 hahahaha!! Nitakuja season nyingine safari hii unatawala wewe!Watu wanadai tukichukua kombe tutasumbua mitandaoni sasa nimeanza course lol
Nashkuru Mungu nzuri sijui wewe
Ukweli nimekumiss mtani umepotea sana
Kivipi mkuuhivi vijibwana mdogo vya Ajax kwa kweli vipo vizuri sana....
but nime notice kuna element fulani ya naivety kwenye play style yao ambayo "heavy metal" inaweza kuwa punish kwa kapu kubwa la magoli!
1. that extra touch or two...Kivipi mkuu
these frailties are telling as we speak.... Spurs could nick this.1. that extra touch or two...
2. physique
Yah manthese frailties are telling as we speak.... Spurs could nick this.
i hope they wont... its still 2-2 thoughthese frailties are telling as we speak.... Spurs could nick this.
Ajax on the rocks.Yah man
these traits have got Ajax knocked off!1. that extra touch or two...
2. physique
Asante ndo football tunasubiri mwakani. Leo nipo Ajax wewe je?
Duuuh kwakweli siwez fananisha maumivu unayosikia..jana barca...leo ajax...daaaah...embu acha kushabikia mpira kwa mudaAsante ndo football tunasubiri mwakani. Leo nipo Ajax wewe je?