Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,033
- 33,752
Tulia sasa kama alivyotulia gaidi wenu!Basi haiwezi kuwa noma
Tulia sasa kama alivyotulia gaidi wenu!Basi haiwezi kuwa noma
Ulivyosema anakula maisha ulikuwa una maanisha bashite ni mumeo?Wewe ni mkewe mpaka ujue anayopitia?
Unateseka ukiwa wapi?Mimi sio mjinga wa kuwa twisted na na toothless courts.
Huyu kwangu atabaki kuwa jambazi na nothing can change .
It is just tantamount to flogging a dead horse.
Usinipotezee muda bhana!Onesha footage ya CCTV kama hiyo hapo juu ya Mbowe akiwa na explosive yoyote.
View attachment 2214006
Mkuu naona cha arusha hakiko sawa sasa unaamua kula cha SWAZI a.k.a Skanka 😂😂😂Sabaya ni bonge la kiongozi, mama mpe Ka kitengo hapo Ikulu akunyoshee wahuni, ikipendeza mpe ukuu wa mkoa wa DSM kama miez miwili hivi akusafishie panya road, then umrudishe chawa wako Makala the great
Gaidi akishakufa lazima atulie sema wamebakia mamluki tu wanamteteaTulia sasa kama alivyotulia gaidi wenu!
Wapi nmesema anakula maisha!..?Ulivyosema anakula maisha ulikuwa una maanisha bashite ni mumeo?
Kesi ya uhujumu uchumi kifungo chake hakizidi miaka mitano kama sijakosea.Kwa Sabaya kupangua hii kesi ni ushindi mkubwa sana kwake hata kama ya uhujumu uchumi atashindwa.
Wapinzani wapi; hawahawa wanaonunuliwa kila uchwao?Hili Taifa litakuja kuwekwa sawa na Wapinzani ninyi naona limeshawashinda msema kweli mpenzi wa Allah.
Gaidi mbowe kafa lini?Gaidi akishakufa lazima atulie sema wamebakia mamluki tu wanamtetea
Nauliza hiviii sabaya amenyoa upara?Wewe ni pimbi, mambo ya kunyoa yameingiaje hapa, nilichosema Sabaya yupo jela hata sasa ninavyoandika hapa amerudi kama mahabusu.
Inaonekana kiingereza kinakupiga chenga, haya basi ameenda nyumbani
Ila nyie ufipa hamna hata aibu, eti kwa siku alikua anawabaka 30Nyapala leo anamtayarishia pilau baada ya kushinda rufaa lakini baadaye kama kawaida.
Kama ugaidi aliofanya mwenyekiti wenu.Kwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
Mhhhhhh, hii Nchi ngumu Sana kuliko Afghanistan....View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
View attachment 2213907
Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha