Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Ila mwachii jamani, hicho unacho ficha hata wao wanakijua sana,

Wanakuchora, sasa nenda huko PM, ukayamwage, watu wa screenshot, watume kwa wahusika, afu uminywe nyanya hizo.

Akili itakukaa, 😂😂😂😂😂
Muache akayavagaze inbox wamkate chululu.
 
Ila mwachii jamani, hicho unacho ficha hata wao wanakijua sana,

Wanakuchora, sasa nenda huko PM, ukayamwage, watu wa screenshot, watume kwa wahusika, afu uminywe nyanya hizo.

Akili itakukaa, 😂😂😂😂😂
Waliko lalia ndio nimeamkia bado napenda kuishi
 
Binadamu kwa asili ni mtu mbinafsi sana,hupenda kusikia yote mazuri kumuhusu.
Siku akiongelewa yasio mazuri hata kama kweli yanamhusu hukasirika sana na hutaka kulipa kisasi.
 
Jiwe aliwaamsha sana watu wengi mpk waliopo kwenye deep state,chawa tu ndio wanaelewa unguja anafanya nini
 
Binadamu kwa asili ni mtu mbinafsi sana,hupenda kusikia yote mazuri kumuhusu.
Siku akiongelewa yasio mazuri hata kama kweli yanamhusu hukasirika sana na hutaka kulipa kisasi.
Mkuu samahani, nje ya mada!!

Kuna miaka fulani ya 2017 uliwahi kusema una changamoto ya kufuatwa na nzi kila unapoenda, vipi umefanikiwa kuitatua?
 
Back
Top Bottom