Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Ummy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu

Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED

Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Kwa hiyo watu wasipige story. Mambo mengine bwana. Hata hao wadukuzi nao wanafanya hayohayo
 
Alafu akarekodiwa na mwanaume mwanaume aka mtumia voice note mama nae mama baada ya kusikiliza voice akamtumia ummy ummy wakati anashangaa akiingia mtandaoni anakutana na badiriko sio waziri tena

#WANAUME SISI WAMBEA SANA MAOFISINI
Wanaume sk hiz mafundi kwenye umbea
 
Ummy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu

Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED

Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Ndiyo maana tunataka reforms ili kuondoa mfumo kama huu wa kupigia goti malkia
 
Anaenisema vibaya kwa kua nafanya vibaya au nafanya mabaya huyo mtu ndie anaenipenda kwa dhati, sasa km kuna mabaya hakuyapenda akawa anayazungumzia kuhusu boss wake, hapo napata akili km yule jamaa aliemsema boss wake mwenye tabia ya Ulevi kisha mmoja wa waliekua wanamuongelea boss akaenda kumwaga cheche kwa boss ili kile cheo cha jamaa apewe yeye na kweli boss akamvua jamaa aliemsema vyeo vyote akampa yule aliempelekea umbea, kwa hio kuharibiana kupo tu but anaekusema kwa mabaya yako huyo ndio rafiki yako mwema zaidi kuliko yule anaekusifia hata kwa mabaya unayoyafanya
Kabisa
Kuliko unafki alf mtu anabaki kuharibu
 
Back
Top Bottom