Kwa hiyo sisi tufanyeje?Ummy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu
Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED
Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
NO REFORMS, NO ELECTION.Ummy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu
Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED
Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Alivyovivuna vinamtosha akajiajiri sasa..Ummy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu
Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED
Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Anaenisema vibaya kwa kua nafanya vibaya au nafanya mabaya huyo mtu ndie anaenipenda kwa dhati, sasa km kuna mabaya hakuyapenda akawa anayazungumzia kuhusu boss wake, hapo napata akili km yule jamaa aliemsema boss wake mwenye tabia ya Ulevi kisha mmoja wa waliekua wanamuongelea boss akaenda kumwaga cheche kwa boss ili kile cheo cha jamaa apewe yeye na kweli boss akamvua jamaa aliemsema vyeo vyote akampa yule aliempelekea umbea, kwa hio kuharibiana kupo tu but anaekusema kwa mabaya yako huyo ndio rafiki yako mwema zaidi kuliko yule anaekusifia hata kwa mabaya unayoyafanyaUmmy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Kwani alisema uongoUmmy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu
Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED
Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
Kwamba umbea kaanza mudaHuyu Ummy hata pale Korogwe Girls alikua anasutwa sana.
Ubaya ubwelaMama kwa visasi
Kama vile yeye uwa hawasemi wenzake
Acha umbeaUmmy Mwalimu alijiharibia kwa tabia yake ya uswahili kumsengenya boss wako kwa njia ya simu
Ombeni Sefue aliwahi kutimuliwa ikulu usiku wamanane baada ya kudukuliwa akimsimanga JPM kwa JK.saa nane na dk 25 usiku akapigiwa simu na jiwe na kuambiwa YOU ARE FIRED
Ummy Mwalimu hakujifunza akarudia kosala Balozi Sefue.
Pamoja na kuomba msamaha na kumtuma JK ila mama amekaza fuvu hataki kumuona wala kumsikia
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu Ummy hata pale Korogwe Girls alikua anasutwa sana.
Kumbe hafai kabisa huyu Ummy.Kwani alisema uongo
Kwani Samia sio mlevi?
Kosa lake ni Nini?