Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,613
- 22,520
Hahahaha😄😆😆! Nimecheka kwa sauti kutokana na uandishi wako!Mzee anayekaribia miaka 70 hana muandiko wa namna hii...
Humu member ninayefahamu ni mzee ni Mohamed Said tu.
Nimeritire 2018
age(1958):ie 70-3, midogo hiyo?
Personallity ya mtu inategemeana na namna saikoloji yako unavyoishape!
Naweza nikajirudisha ujana na makunyanzi yangu tukashindaniana madem nikakuwin na isiwe ajabu.
Bado ninada bw. mdogo.