Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

Anaenisema vibaya kwa kua nafanya vibaya au nafanya mabaya huyo mtu ndie anaenipenda kwa dhati, sasa km kuna mabaya hakuyapenda akawa anayazungumzia kuhusu boss wake, hapo napata akili km yule jamaa aliemsema boss wake mwenye tabia ya Ulevi kisha mmoja wa waliekua wanamuongelea boss akaenda kumwaga cheche kwa boss ili kile cheo cha jamaa apewe yeye na kweli boss akamvua jamaa aliemsema vyeo vyote akampa yule aliempelekea umbea, kwa hio kuharibiana kupo tu but anaekusema kwa mabaya yako huyo ndio rafiki yako mwema zaidi kuliko yule anaekusifia hata kwa mabaya unayoyafanya
Unazunguka zunguka tu mwenyew huelewi unachokisema
 
Kwamba akilewa anataka mambo ya ajabu ajabu ?inaonyesha Auntie Ummy alichoka ...
 
Kwakuwa hizi habari ni mpya kwenye public domain, kuna mawili.

Mleta mada mshindani kipindi hiki cha uchaguzi.
au
‘Bi Tozo’ Karusha kinjiwa chake kitume salamu.

Kwa Majaliwa ilianza hivi na Nandagala One akitoa onyo mjomba usigombee uwaziri mkuu una mwenyewe 2026. Mara paap, ghafla tu u-turn.
 
Back
Top Bottom