Kumbe mimi na wewe hatupo?

Kumbe mimi na wewe hatupo?

Where do you get you knowledge from? ?

Umeshaanza na uongo so everything else itakuwa uongo:

Umesema mwanga unahitaji medium ili uonekane! Where did you learn this?

Light can travel in a vacuum. It does not need matter to travel. You not seeing light in a vacuum doesn't mean it's not there! Ndomana na Biblia imemuita anayesema Mungu hayupo kuwa Mpumbavu.

How much else do you think you have got wrong?

There are levels to reality.

You can search about other dimensions and see where that gets you.

View: https://youtube.com/shorts/VwofJ3wkzn8?si=dVm7Ax7a2ev5cFhi

JESUS IS THE TRUTH.

(not debating)

Tofahtisha kati ya visibility na traveling. Mimi nilisema to see light you need a medium. Not that light doesn't exist in a medium

Unacho ongelea wewe ni traveling, light is matter too, because it's a wave form(particle).

About other dimensions, that's physics, I only talked about the 3D self we think we are.

It is no where to be found.
 
we gusa kama litashikika na ukahisi limeshikwa basi fahamu hiyo ni sehemu ya wewe na umetambua wewe umejishika tako lako.....
Sehem ya mimi, kwa hiyo mimi ni nani hasa?
Tako langu? Je mimi ni kifungo? Au wazo kuwa kiungo ni mimi?
 
Tofahtisha kati ya visibility na traveling. Mimi nilisema to see light you need a medium. Not that light doesn't exist in a medium

Unacho ongelea wewe ni traveling, light is matter too, because it's a wave form(particle).

About other dimensions, that's physics, I only talked about the 3D self we think we are.

It is no where to be found.
Kwahiyo leo mtu akipoteza uwezo wa kuona akawa kipofu maana yake kila kitu alichokuwa anakiona maana yake kimepotea, havipo! ! ! !

3D ni kwamba we think we are or ni explanation of the reality that we're in!
Nikisema mtoto kazaliwa, mmea umechipua, moto umezimika etc

ni mimi I'm just thinking au ni process halisi nailezea?

You seem to be struggling accepting reality.

Aisee bro. Kwaheri.

Ndomana nilisema not debating.
 
Kwahiyo leo mtu akipoteza uwezo wa kuona akawa kipofu maana yake kila kitu alichokuwa anakiona maana yake kimepotea, havipo! ! ! !

3D ni kwamba we think we are or ni explanation of the reality that we're in!
Nikisema mtoto kazaliwa, mmea umechipua, moto umezimika etc

ni mimi I'm just thinking au ni process halisi nailezea?

You seem to be struggling accepting reality.

Aisee bro. Kwaheri.

Ndomana nilisema not debating.

No bro, you're just getting me wrong. Let's get back to the point, tuliongelea visibility wewe umeikimbia, saiz umekuja na kipofu, sasa hapo kwenye kipofu, si atabaki na kumbukumbu? Mwanga utaendeleaa kuwepo ila sensation kwake ndo itapotea!


Hapo, ukisema hivyo kutokana na hii nadharia ya no self... Itakuwa unaleta kazi ya memory, mtoto(kiumbe) kazaliwa na wewe(kiumbe) yes, ni process, iliyo tokea. Uhalisia wa kitu kutokea ni real.. Ila uhalisia wa individual self, ambayo ni independent ya kiumbe(mkusanyiko wa mwili, akili na nafsi) ambavyo vyoote ni perishable entities haipo.

OK can you explain what reality is if am struggling. No debate too, just trying to learn
 
Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo?

Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba, mama, mtoto, mjukuu nk

Tukianza na physical body, hii ni kama vessel au chombo kinacho beba uhai uhai ukitoka it perishes.

Mind,(akili) ni kama time mashine, inafanya kazi kwa kumbukumbu na matukio. So kama time ikistop na wewe haupo, so he wewe ni muda? (mind)? Lahaula

Nafsi, hii nayo ni illusion, inakuwepo in relevance to mind and body. Ni kama mwanga, unahitaji medium ili uonekane, hiyo medium ikipotea, existence yake nayo haipo. So nafsi japo wengi husema ndo wewe nayo ni batili, lasivyo basi wewe haupo wewe, wewe ni kila kitu na kama wewe ni kila kitu basi haupo.

Kwa maelezo hayo, basi ni dhahiri mimi na wewe hatupo. Yaani sisi ni kama AI tumejitengeneza kwa kutumia akili ambayo basically ni kiuongo kama mguu, na kiuongo hicho sio sisi.

Nawatakia utazamaji mzuri wa world cup Leo.
I'm even doubting about my own existence. Am I really existing? Where didi I come from. I know my life started at the time of fertilisation. Where did the life come from? Nobody knows the answer.
 
I'm even doubting about my own existence. Am I really existing? Where didi I come from. I know my life started at the time of fertilisation. Where did the life come from? Nobody knows the answer.
Let's get back to defining life..

Life might not be an entity, just a process like walking. I feel like maybe just the very act of existence itself is a culmination of processes and when the variables causing the process are done existence shifts its form or perishes
 
Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo?

Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba, mama, mtoto, mjukuu nk

Tukianza na physical body, hii ni kama vessel au chombo kinacho beba uhai uhai ukitoka it perishes.

Mind,(akili) ni kama time mashine, inafanya kazi kwa kumbukumbu na matukio. So kama time ikistop na wewe haupo, so he wewe ni muda? (mind)? Lahaula

Nafsi, hii nayo ni illusion, inakuwepo in relevance to mind and body. Ni kama mwanga, unahitaji medium ili uonekane, hiyo medium ikipotea, existence yake nayo haipo. So nafsi japo wengi husema ndo wewe nayo ni batili, lasivyo basi wewe haupo wewe, wewe ni kila kitu na kama wewe ni kila kitu basi haupo.

Kwa maelezo hayo, basi ni dhahiri mimi na wewe hatupo. Yaani sisi ni kama AI tumejitengeneza kwa kutumia akili ambayo basically ni kiuongo kama mguu, na kiuongo hicho sio sisi.

Nawatakia utazamaji mzuri wa world cup Leo.

unamtazamo flan mzuri ila umedanganya.

mtu akikata roho ikimaanisha ubongo umekufa. Hua anachomoka yaan anachomoka mtu na ufaham wake ila hawez kushikika anakua ni kama umeme hadi apate mwili ndipo aonekane.

ila ikitokea mtu amefikia dismeshen flan za juu huko ndipo umimi hupotena na kuwa nishati isiyo na nafsi ambapo inakua nguvu tu ambayo nisawa na nguvu kuu iliyo fanya kila kitu kiwepo.

watu wa dini wanamwita muumba au Mungu mkuu. { ni Mungu mkuu kwasababu kila kiumbe kina uungu. na ili uwe na sifa ya nguvu kuu au Mungu mkuu ni hadi ufikie level ya kutokua na nafsi yaan kukosa umimi . }>

nafsi ni sawa na window ya compyta tu .. kwamba bila windo hata pawe na umeme haiwez kuwaka.

ila roho ni sawa na umeme kisha mwili ni kwaajili ya mtu ashikike inamaana akifa atakuwepo ila kumwona kikawaida itakua ni ngumu ni hadi auvaemwili.
 
Mimi ndiye ninaye shika tako na kutambua kama hili ni tako. Mimi ni ufahamu na akili
Ok,
Imagine hilo tako ni kiungo?
Ubongo umetumia (UFAHAMU) kitu ambacho ni decision, decision ni wewe? Au ni wazo? Je wazo ni wewe? Maana hapo Kuna causation kwamba umesikia mtu kasema ulishikie so ume respond.

Je kilicho respond hapo ni wewe? Au ubongo? Reaction to memory? Ukisema wewe ndo umejishika tako, Hapana maana kilicho sababjsha ulishikie sio wewe ni ubongo ulio kuwa triggered because of memory.
 
WhatsApp Image 2025-09-12 at 21.36.16.jpeg
 
No bro, you're just getting me wrong. Let's get back to the point, tuliongelea visibility wewe umeikimbia, saiz umekuja na kipofu, sasa hapo kwenye kipofu, si atabaki na kumbukumbu? Mwanga utaendeleaa kuwepo ila sensation kwake ndo itapotea!


Hapo, ukisema hivyo kutokana na hii nadharia ya no self... Itakuwa unaleta kazi ya memory, mtoto(kiumbe) kazaliwa na wewe(kiumbe) yes, ni process, iliyo tokea. Uhalisia wa kitu kutokea ni real.. Ila uhalisia wa individual self, ambayo ni independent ya kiumbe(mkusanyiko wa mwili, akili na nafsi) ambavyo vyoote ni perishable entities haipo.

OK can you explain what reality is if am struggling. No debate too, just trying to learn
Hata sikuelewi.

Kwahiyo mtu akiwa kipofu mwanga unageuka kuwa memory? ? ?
 
Ok,
Imagine hilo tako ni kiungo?
Ubongo umetumia (UFAHAMU) kitu ambacho ni decision, decision ni wewe? Au ni wazo? Je wazo ni wewe? Maana hapo Kuna causation kwamba umesikia mtu kasema ulishikie so ume respond.

Je kilicho respond hapo ni wewe? Au ubongo? Reaction to memory? Ukisema wewe ndo umejishika tako, Hapana maana kilicho sababjsha ulishikie sio wewe ni ubongo ulio kuwa triggered because of memory.
Ufahamu ndio umetambua kama nimejishika tako la kushoto au la kulia. Kwanini muda mwingine ubongo unajenga hisia kama kuna MIMI.
 
unamtazamo flan mzuri ila umedanganya.

mtu akikata roho ikimaanisha ubongo umekufa. Hua anachomoka yaan anachomoka mtu na ufaham wake ila hawez kushikika anakua ni kama umeme hadi apate mwili ndipo aonekane.

ila ikitokea mtu amefikia dismeshen flan za juu huko ndipo umimi hupotena na kuwa nishati isiyo na nafsi ambapo inakua nguvu tu ambayo nisawa na nguvu kuu iliyo fanya kila kitu kiwepo.

watu wa dini wanamwita muumba au Mungu mkuu. { ni Mungu mkuu kwasababu kila kiumbe kina uungu. na ili uwe na sifa ya nguvu kuu au Mungu mkuu ni hadi ufikie level ya kutokua na nafsi yaan kukosa umimi . }>

nafsi ni sawa na window ya compyta tu .. kwamba bila windo hata pawe na umeme haiwez kuwaka.

ila roho ni sawa na umeme kisha mwili ni kwaajili ya mtu ashikike inamaana akifa atakuwepo ila kumwona kikawaida itakua ni ngumu ni hadi auvaemwili.
Sidhani kama nimedanganya na mimi na wewe wote tunaweza kuwa Sawa kimtazamo..

Unacho kieleza hapo ni consciousness na sio self(ego) uko sahihi kabisa kimtazamo.

Labda hatukuelewana tu, unavyo Sema "mimi" means ego, yaani lazima kuwe na vessel (body and mind) inavyo chomoka inarudi kwenye source, so hapo wewe ni nishati kama ulivyo sema na sio wewe.

Nahisi umenielewa na hio analogy ya kompyuta iko so on point💯

Je kwa muktadha huo sisi tupo? Basically tutasema tupo kwa sababu ego (self) ita attach u mimi kwenye nishati pia.
 
Back
Top Bottom