Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 15,989
- 50,717
Inafikirisha sana,Au sisi ni virusi kwenye tumbo kubwa la mnyama mmoja mkubwa , au tufanye hatupo au ni sir God anafanya majaribio vyenye tutakavyo kula lile tunda madhara yake yakatavyo tokea, au ni mimi naota lindoto lirefu tu wala sijamka bado?
ni illusion tu hata Dunia haipo