Sasa hivi nina-sex na mke wangu, inamaana si kweli hatufanyi kitu kwamba hiki tunachokifanya ni AI?Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo?
Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba, mama, mtoto, mjukuu nk
Tukianza na physical body, hii ni kama vessel au chombo kinacho beba uhai uhai ukitoka it perishes.
Mind,(akili) ni kama time mashine, inafanya kazi kwa kumbukumbu na matukio. So kama time ikistop na wewe haupo, so he wewe ni muda? (mind)? Lahaula
Nafsi, hii nayo ni illusion, inakuwepo in relevance to mind and body. Ni kama mwanga, unahitaji medium ili uonekane, hiyo medium ikipotea, existence yake nayo haipo. So nafsi japo wengi husema ndo wewe nayo ni batili, lasivyo basi wewe haupo wewe, wewe ni kila kitu na kama wewe ni kila kitu basi haupo.
Kwa maelezo hayo, basi ni dhahiri mimi na wewe hatupo. Yaani sisi ni kama AI tumejitengeneza kwa kutumia akili ambayo basically ni kiuongo kama mguu, na kiuongo hicho sio sisi.
Nawatakia utazamaji mzuri wa world cup Leo.
Daah😂 nimeipenda hii analogy, because maybe kama unavyo Sema kusudi la sisi kuwepo ni dunia tu, ila again ukiangalia na dunia yenyewe ipo within solar system(milky-way galaxy) so ni endless chain.Hii sayari ya dunia huenda ilikuwa kiumbe hai ( mnyama) halafu akafa kisha akaoza, alipo oza akaanza kutoa funza, happy funza ndio viumbe wote wakiwemo binadamu.. Analogy yake ni mwili ulio zikwa kaburini kisha ukatoa funza na wadudu ambao wanaishi katika dunia Yao ndani ya huo mwili ulio oza ndani ya kaburi
Hapana mkuu, hii ni nadharia tuu ambayo inatufanya tufikiri. Unacho kifanya hapo ni tendo ambao Lina engage viungo na hisia simultaneously lakini ile dhana ya uwepo wa self inayofanya hicho kitu haipoSasa hivi nina-sex na mke wangu, inamaana si kweli hatufanyi kitu kwamba hiki tunachokifanya ni AI?
Huyu kwenye picha ni nani
Ancient people hawakuweza vitu vingi ambavyo kwa sasa viko common na vinafanyika kirahisi mno.Kama Hao ancient people hawakuweza na sisi tusahau
I'd like to argue! Hao ndo walikua more in tune hata kuliko sisi. Hivi unajua sisi tumekuwa more genetically tinkered na mauchafu yeetu wenyeweAncient people hawakuweza vitu vingi ambavyo kwa sasa viko common na vinafanyika kirahisi mno.
Jitu dudumizi, tekaji, firaji na uaji. Jitu lisilojilikana.
we gusa kama litashikika na ukahisi limeshikwa basi fahamu hiyo ni sehemu ya wewe na umetambua wewe umejishika tako lako.....Kwani tako ndo mimi?