min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,634
- 164,932
Hatupo ,Hii ndiyo maana halisi ya tunajilewesha 😂
Hatupo ,Hii ndiyo maana halisi ya tunajilewesha 😂
Kuliwa mbunye nako hakupo , hata mbunye nayo haipo na wewe haupo ni naota tumimi napenda kuliwa mbunye
Au kuna mtu anacheza game na sisi ni kete ndani ya game tuAaah au ni maigizo ya script iliyoandikwa na mtu fulani 🤔
CHessAu kuna mtu anacheza game na sisi ni kete ndani ya game tu
Huw natulia masaa mengi kwenye meditation, nayatazama mawazo yangu , nayaona kabisa jinsi yanavyo jiamulia mambo , ila sijaona mimi ninaye yatazama nilipohii huwa inanitafakarisha sana, mtu kafa unaambiwa "mwili wa marehem utasafirishwa" imagine neno mwili wa marehem, sasa inamaana mwenye mwili kaenda wap kama umebaki mwili ndio unasafirishwa!? Haya movie inaanza unapoanza kutaja viungo katika mwili, mfano: kidole changu, tumbo langu, kichwa changu, miguu yangu, ........, taja vyote mwili mzima hadi mwisho kila kitu sasa huyo anaevimilik ni nan!?
Kabla ya simu kuwepo au ndege zilikuwepo wapi? Kuna namna tukitulia vizuri akili zetu zinaweza vumbua mambo mazito na hata kufikia hatua y kudhibiti kifo ambacho kwa mujibu wa mada hakipo ni illusion tuCHess
of course tukirud kwenye sense ya kawaida unaona kabisa maisha si chochote manake hayapoKabla ya simu kuwepo au ndege zilikuwepo wapi? Kuna namna tukitulia vizuri akili zetu zinaweza vumbua mambo mazito na hata kufikia hatua y kudhibiti kifo ambacho kwa mujibu wa mada hakipo ni illusion tu
Kama dhana ya kutafuta maisha unaona kabisa ni ya kipumbavu, tunatafuta maisha ambayo ni akili zetu wenyewe zimeamua kuyafichaof course tukirud kwenye sense ya kawaida unaona kabisa maisha si chochote manake hayapo
Kuna watu wana knowledge mzee, ukianza kufuatilia Kuna hizo royal families, Vatican,.. Ni kama wanajua mda wa kuachilia kitu fulani au invention flani. Hizo ancient tech zilizo jenga pyramid zipo Sema zimefichwaKabla ya simu kuwepo au ndege zilikuwepo wapi? Kuna namna tukitulia vizuri akili zetu zinaweza vumbua mambo mazito na hata kufikia hatua y kudhibiti kifo ambacho kwa mujibu wa mada hakipo ni illusion tu
Umeona bhana inabidi tufanye research kuhusu kifo an how we can control it tuishi miaka 3000 au 1k ...nkKama dhana ya kutafuta maisha unaona kabisa ni ya kipumbavu, tunatafuta maisha ambayo ni akili zetu wenyewe zimeamua kuyaficha
Zimefichwa kwa dhumuni gani?Kuna watu wana knowledge mzee, ukianza kufuatilia Kuna hizo royal families, Vatican,.. Ni kama wanajua mda wa kuachilia kitu fulani au invention flani. Hizo ancient tech zilizo jenga pyramid zipo Sema zimefichwa
Kwanini dunia ya kale waliibua wagunduzi wakubwa kuliko dunia hii ya sasa? Yawezekana hata hii elimu tunamezeshwa ni upumbavu tu unaolimit uwezo wa akili zetu🤔Kuna watu wana knowledge mzee, ukianza kufuatilia Kuna hizo royal families, Vatican,.. Ni kama wanajua mda wa kuachilia kitu fulani au invention flani. Hizo ancient tech zilizo jenga pyramid zipo Sema zimefichwa
The powers that be! Ni kitu sisi ambao hatujui tunaishia kujiuliza tu.. Angalia watu MA genius huwa wanishia kuwa assassinated tu because waki Crack code tu human akawa free hakuta kuwa na control tena.Zimefichwa kwa dhumuni gani?
Na nani ana access ya hio skills?
Facts kabisa imekuja kimkakati wa ku control na kumfanya binadamu awe mtumwa wa system flani. Ni vile tu tunaishi kwa survival ndo maana tunakuwa distracted.Kwanini dunia ya kale waliibua wagunduzi wakubwa kuliko dunia hii ya sasa? Yawezekana hata hii elimu tunamezeshwa ni upumbavu tu unaolimit uwezo wa akili zetu🤔
Akili inauwezo mkubwa sanaKwanini dunia ya kale waliibua wagunduzi wakubwa kuliko dunia hii ya sasa? Yawezekana hata hii elimu tunamezeshwa ni upumbavu tu unaolimit uwezo wa akili zetu🤔
Majokofu yamejaaMoi itapata mteja mpya😀😀😀