Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

UDINI ni dalili ya mtu anayekaribia kufa kisiasa.
WATANZANIA wenzangu, huyu Mgombea hatufai hata kidogo. Ukishaona Mgombea tena wa Urais wa Jamhuri anaanza kujinasibu kwa UDINI, huyo ni wa kumwogopa kama UKOMA. Madhara ya UDINI ni makubwa mno mno mno.
Mwalimu Nyerere alishasema, mtu akishafirisika kabisa kabisa kifikra huanza kujihalalisha kwa UDINI. Hii haikubaliki hata kidogo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Serikali,Asasi, Makundi mbalimbali pamoja na Watanzania wote tunatakiwa kupaza sauti kukemea jambo hili.
Lakini, naomba hii iwe ndo tiketi pekee ya kuwanyima kura ifikapo October 28.
Tukiwapa Nchi hawa watatugawa vipande vipande kwa DINI zetu, kwa MAKABILA yetu na kwa KANDA zetu.
NB.Mtu anaye entertain UDINI si wa kumwonea haya hata kidogo.
Vyombo vinavyohusika vichukue hatua za haraka dhidi ya watu hawa.
 
Kura ya Zito inaonekana hapo,

Bila shaka Ponda ni mjumbe wa Zito Kabwe.
 
Yani hakuna kurudi nyuma.. lazima Lissu achukue nchi. Waislam na sisi tumesema baaaasi.. Ni Lissu tu sasa wa kukalia kiti cha uRais.
 
Kuna watu walikua wanailalamikia bakwata na siasa haya ponda huyo nae na siasa wanaona sawa tu. Aiseee

Na ww ni mmoja wa wale tuliofuatwa kuunga mkono JPM kwa vipesa vile?
Wengine na ajira waka haidiwa.
Keep in mind, TL going to win and announced
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.

Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.

Video hii hapa

====

SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU

Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo

Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa

Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais

#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020

View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481

View attachment 1603231
Mungu muumba mbingu na nchi tunakuomba mfanye lisu awe rais wa nchi yetu
 
Hapo umekubali mnahalalisha mlichokua mnakiona haramu. Haramu ni haramu mkuu
..Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wanatumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya viongozi wa dini kumshambulia Tundu Lissu. Sasa kuna ubaya gani Shekhe Ponda kumsaidia Tundu Lissu ktk kampeni zake? Tena Ponda ana afadhali kwasababu hajaisema vibaya CCM wala mgombea wake.

..Mimi siwapendi Boko haram na Al Qaeda, lakini ni lazima tuelewe ni kwanini watu wanajiunga na ugaidi. Mara zote ni kutokana na injustice na lack of opportunities. Hivi vikundi huwa haviibuki tu hivihivi bila kuwa na mazingira fulani ya watu kunyimwa haki zao, kukosa fursa, kutengwa, kubaguliwa, na kukosa matumaini ya kusikilizwa na watawala.
 
Kwa hali ilivyo kadri siku zinavyosogea kila upande unajaribu kutumia mbinu ya kubadilisha upepo wa Uchaguzi ili kujihakikishia ushindi kwa kura nyingi

Baada ya kuonekana kama kuna mbinu ya kuegemea taasisi za dini inatumika katika kubadilisha hali ya mambo kama tulivyo sikia matamko kutoka Mtwara kupitia BAKWATA kwamba watamuunga mkono yule

Mara tukaona na mapicha akiwa msikitini huku ikiombewa dua kana kwamba tulikua tunapewa ujumbe kuwa huyu ni wa BAKWATA apewe kura na waislam

Kwa bahati mbaya walisahau kuwa BAKWATA ina upinzani mkubwa sana katika jumuiya ya kiislam

Kwa mbinu hii CDM ni kama tayari mmebadilisha upepo wa uchaguzi na kujihakikishia ushindi mkubwa utakao washing azam watu.
20201017_212641.jpg
 
Sio jambo geni hata babu seya mlisema kaonewa mkalalmika wee kaachiwa mnalalamika mbakaji kaachiwa. Kuweni na misimamo wakuu
Kwani kutenda haki hadi UTOE AHADI? Kuna kitu kinaitwa dhamana pia kwanini anashindwa kuwapa dhamana? Makosa yao mbona hadi leo hii hatuyajui? Ni makosa kweli walitenda au walibambikiwa?

Kwani tunajua hii Serikali dhalimu ilivyo vizuri kubambikia kesi FAKE kwa Watanzania mbali mbali.
 
Sijawahi hata siku moja kutamka popote au kuandika hata humu kama Babu Seya kaonewa.
Sio jambo geni hata babu seya mlisema kaonewa mkalalmika wee kaachiwa mnalalamika mbakaji kaachiwa. Kuweni na misimamo wakuu
 
Sasa ukristo wako unanihusu nini mkuu?aliyewaweka ndani ni muislam mwenzao mbona hamkupiga hizi kelele mpaka mnakuja kumbwagia mzigo asiyehusika?
Dada Mimi ni mkristo kkkt naijua imani ya mitume,ungamo la dhambi ,sala ya bwana ,Imani ya nikea ,imani ya atanasio na ahadi ya ubatizo tena kwa saivi nasoma online theology na philosophy chuo kimoja Denmark ila nakuambia hao masheikh wanaonewa bure kama kuna Tatizo au kesi ya kujibu wapelekwe mahakaman basi?
Mwaka wa 8 huu wako rumande hamna kesi yeyote
 
Back
Top Bottom