UDINI ni dalili ya mtu anayekaribia kufa kisiasa.
WATANZANIA wenzangu, huyu Mgombea hatufai hata kidogo. Ukishaona Mgombea tena wa Urais wa Jamhuri anaanza kujinasibu kwa UDINI, huyo ni wa kumwogopa kama UKOMA. Madhara ya UDINI ni makubwa mno mno mno.
Mwalimu Nyerere alishasema, mtu akishafirisika kabisa kabisa kifikra huanza kujihalalisha kwa UDINI. Hii haikubaliki hata kidogo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Serikali,Asasi, Makundi mbalimbali pamoja na Watanzania wote tunatakiwa kupaza sauti kukemea jambo hili.
Lakini, naomba hii iwe ndo tiketi pekee ya kuwanyima kura ifikapo October 28.
Tukiwapa Nchi hawa watatugawa vipande vipande kwa DINI zetu, kwa MAKABILA yetu na kwa KANDA zetu.
NB.Mtu anaye entertain UDINI si wa kumwonea haya hata kidogo.
Vyombo vinavyohusika vichukue hatua za haraka dhidi ya watu hawa.
WATANZANIA wenzangu, huyu Mgombea hatufai hata kidogo. Ukishaona Mgombea tena wa Urais wa Jamhuri anaanza kujinasibu kwa UDINI, huyo ni wa kumwogopa kama UKOMA. Madhara ya UDINI ni makubwa mno mno mno.
Mwalimu Nyerere alishasema, mtu akishafirisika kabisa kabisa kifikra huanza kujihalalisha kwa UDINI. Hii haikubaliki hata kidogo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Serikali,Asasi, Makundi mbalimbali pamoja na Watanzania wote tunatakiwa kupaza sauti kukemea jambo hili.
Lakini, naomba hii iwe ndo tiketi pekee ya kuwanyima kura ifikapo October 28.
Tukiwapa Nchi hawa watatugawa vipande vipande kwa DINI zetu, kwa MAKABILA yetu na kwa KANDA zetu.
NB.Mtu anaye entertain UDINI si wa kumwonea haya hata kidogo.
Vyombo vinavyohusika vichukue hatua za haraka dhidi ya watu hawa.