Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Kawaida yenu BAK kila siku unakana misimamo ya chama kwa kujisafisha sijawahi fanya hiki sijawahi fanya kile
Sijawahi hata siku moja kutamka popote au kuandika hata humu kama Babu Seya kaonewa.
 
Kwa hali ilivyo kadri siku zinavyosogea kila upande unajaribu kutumia mbinu ya kubadilisha upepo wa Uchaguzi ili kujihakikishia ushindi kwa kura nyingi

Baada ya kuonekana kama kuna mbinu ya kuegemea taasisi za dini inatumika katika kubadilisha hali ya mambo kama tulivyo sikia matamko kutoka Mtwara kupitia BAKWATA kwamba watamuunga mkono yule

Mara tukaona na mapicha akiwa msikitini huku ikiombewa dua kana kwamba tulikua tunapewa ujumbe kuwa huyu ni wa BAKWATA apewe kura na waislam

Kwa bahati mbaya walisahau kuwa BAKWATA ina upinzani mkubwa sana katika jumuiya ya kiislam

Kwa mbinu hii CDM ni kama tayari mmebadilisha upepo wa uchaguzi na kujihakikishia ushindi mkubwa utakao washing azam watu.View attachment 1603506
Lissu anapendwa jamani acheni nyie.
 
Rukeni Sarakasi za kila aina, pigeni kelele za kila aina, lakini October 28 kipigo cha mbwa koko kipo pale pale.
JPM ushindi 95%.
 
Lissu aendelee na Kampeni akiwa na Sheikh huyu Jasiri anaemuogopa Mungu Leo amenisisimua mno wakati wa kile kiapo

Polepole ni mtumishi wa Shetani
 
Mwili umenisisimka kwa furaha kubwa na isiyoweza kuelezeka,ccm wameshindwa kumnunua Shekh Ponda. Hakika huyu ni Shekh anayesimamia miiko na maadili ya Uislam na kuyaishi!

Kura zote kwa Lissu!
Noma sana🤣🤣
 
UDINI ni dalili ya mtu anayekaribia kufa kisiasa.
WATANZANIA wenzangu, huyu Mgombea hatufai hata kidogo. Ukishaona Mgombea tena wa Urais wa Jamhuri anaanza kujinasibu kwa UDINI, huyo ni wa kumwogopa kama UKOMA. Madhara ya UDINI ni makubwa mno mno mno.
Mwalimu Nyerere alishasema, mtu akishafirisika kabisa kabisa kifikra huanza kujihalalisha kwa UDINI. Hii haikubaliki hata kidogo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Serikali,Asasi, Makundi mbalimbali pamoja na Watanzania wote tunatakiwa kupaza sauti kukemea jambo hili.
Lakini, naomba hii iwe ndo tiketi pekee ya kuwanyima kura ifikapo October 28.
Tukiwapa Nchi hawa watatugawa vipande vipande kwa DINI zetu, kwa MAKABILA yetu na kwa KANDA zetu.
NB.Mtu anaye entertain UDINI si wa kumwonea haya hata kidogo.
Vyombo vinavyohusika vichukue hatua za haraka dhidi ya watu hawa.
ahahaaaa mlifikiri mtaachwa hivi hivi kama mlivyozoeaeeee? Siyo safari hii mazee, safari hii ni jino kwa jino hakuna kupeana tena shavu la kulia baada ya kututandika la kushoto, mapema sana mlitahadharishwa kabisa kuwa safari hii mnyama atachinjwa kutokana na uelekeo aliojielekeza hata kama uelekeo siyo kiblah atachinjwa tu hivo hivo.
ujinga wenu wa kunya anye kuku akinya bata kaharisha bakini nao huko huko lumumba...safari hii tutawanyoosha ndani na hata ikibidi nje ya nchi. mkibandua tunabandika mkibandika tunabandua mpaka kieleweke.
nchi hii si ya kwenu peke yenu eti muachiwe tu ninyi mfanye kila mnachotaka noo way.
 
Na safari hii wakijaribu kuiba kura watakoma, Lissu hataki ujinga, wafadhili/mabeberu nao hawataki ujinga, na wanaomuunga mkono Lissu wote nao hawataki ujinga, CCM itabidi wajue wataibaje hizo kura kwa akili vinginevyo kazi wanayo.
Kura huwa zinaibwaje??????
 
Sheikh Ponda kweli amesema kama Lissu hakuchaguliwa, basi Mungu hatapokea Dua za watanzania? Kama ni kweli basi Sheikh amekufuru sana, Shekh Ponda hana uwezo wa kumsemea Mungu, na hajui uamuzi wa Mungu utakuwaje.
 
91 Reactions
Reply
Back
Top Bottom