Zanzibar 2020 Yaliyojiri Tibirizi, Pemba mkutano wa kufunga kampeni ya Maalim Seif. Tundu Lissu ahudhuria

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba.

Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT Wana urafiki wa Damu.

ACT Wazalendo imetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu nafasi ya Urais wa Muungano huku CDM ikitangaza kumuunga mkono Maalim Seif nafasi ya Urais Zanzibar

Updates saa 2.30 asubuhi

Tayari mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili kisiwani Pemba hivi sasa tayari kwa mkutano wa kampeni za mgombea Urais Chadema ambao utahudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa ACT

========



Sheikh PONDA: Huu uchaguzi msingi wake ni kuhakikisha haki inapatikana lakini haki haipatikani kwa kuomba, haki inachukuliwa. Huu ndio mkakati katika uchaguzi huu. Mko tayari kuchukua haki zenu?

Mmesikiliza dua aliyoiomba baba Askofu, imezungumza lugha hii ninayoizungumza mimi, hii ndio lugha ya wakristo Tanzania, ndio lugha ya Waislamu Tanzania. Ndio lugha ya viongozi wa vyama vikubwa vya siasa Tanzania kwamba tunachukua haki yetu safari hii.

Tutahakikisha yule ambae aloshinda kwa kura za wananchi huyo ndie ambae anatangazwa.

JUSSA: Langu la kwanza, mara hii kama walidhamiria kuifisidi Pemba basi CCM itaangushwa Unguja. Waliengua wagombea
wakadhani watawavunja moyo wana-ACT wazalendo na wazanzibari lakini nikupeni habari za Kisiwandui?

Kisiwandui wanalizana vilio mtindo mmoja, uchaguzi huu hausimamiwi na ZEC na NEC kama tulivyozoea miaka ya nyuma. Mara hii kuthibitisha ukoloni wao wameletwa maafisa usalama kutoka Tanganyika kuja kusimamia uchaguzi wa Zanzibar.

Lakini ambalo hawakulikumbuka afisa usalama hawawezi kubadili msimamo wa wananchi wa Unguja na Pemba katika tunalolitaka.
1603354874033.png



=======

Pichani ni mgombea Urais Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo ndugu, Seif Sharif Hamad akimuombea kura mgombea Urais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania ndugu, Tundu A. Lissu leo 22 Oktoba 2020 katika Viwanja vya TIBIRINZI Pemba.

1603359868429.png

1603359898116.png

1603359924328.png
#ZanzibarYenyeMamlakaKamili
 
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba.

Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT Wana urafiki wa Damu.

ACT imetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu nafasi ya Urais wa Muungano huku CDM ikitangaza kumuunga mkono Maalim Seif nafasi ya Urais Zanzibar

Updates saa 2.30 asubuhi

Tayari mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili kisiwani Pemba hivi sasa tayari kwa mkutano wa kampeni za mgombea Urais Chadema ambao utahudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa ACT
Visiwa vitalipuka leo kwa Shangwe
 
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba.

Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT Wana urafiki wa Damu.

ACT imetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu nafasi ya Urais wa Muungano huku CDM ikitangaza kumuunga mkono Maalim Seif nafasi ya Urais Zanzibar

Updates saa 2.30 asubuhi

Tayari mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili kisiwani Pemba hivi sasa tayari kwa mkutano wa kampeni za mgombea Urais Chadema ambao utahudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa ACT
Naona bado anafanya utalii wa ndani,maana alikuwa ameshazoea kukaa Ulaya.
 
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba.

Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT Wana urafiki wa Damu.

ACT Wazalendo imetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu nafasi ya Urais wa Muungano huku CDM ikitangaza kumuunga mkono Maalim Seif nafasi ya Urais Zanzibar

Updates saa 2.30 asubuhi
Free
Tayari mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili kisiwani Pemba hivi sasa tayari kwa mkutano wa kampeni za mgombea Urais Chadema ambao utahudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa ACT
Pamoja sana
Tunaendelea kuwa kera hadi saivi msajili anataka kufuta uchaguzi
 
Back
Top Bottom