JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Sakata la uamsho linakurupukiwa kama sakata la mkulima. Kuna mengi hapa sema mihemko ya kutafuta kura imetawala. Umeshasikia mauaji yanayoendela mtwara?wakikamatwa wale kesho na kesho kutwa watu mtalalamika na kuona wameonewa.
Kama mmeamua kumtumia ponda basi msijelalamika wenzenu wanapowatumia viongozi wa dini maana wote mnapita njia zile zile
..Yanayotokea MTWARA yanatakiwa kulaaniwa na kila Mtanzania. Lakini ni lazima tuelewe kwamba yamesababishwa na DHULUMA pamoja na LACK OF OPPORTUNITIES kutokana na tawala mbovu za CCM.
..serikali, na vyombo, vimekuwa vinawatendea viongozi wa upinzani kama kwamba ni waasi wakati shughuli zao ziko kwa mujibu wa sheria.
..kwa hiyo, sishangai kuona wapinzani kuamua kuwatetea Mashekhe wa Uamsho kwasababu ni serikali iliyowaweka ktk fungu moja.
..Kuhusu Sheikh Ponda kufanya kampeni, CCM wamekuwa wakitumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya amani kufanya kampeni dhidi ya vyama vya upinzani. CCM ndio walioanzisha utaratibu huo, na vyama vya upinzani vinaiga yanayofanywa na CCM.