Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Sakata la uamsho linakurupukiwa kama sakata la mkulima. Kuna mengi hapa sema mihemko ya kutafuta kura imetawala. Umeshasikia mauaji yanayoendela mtwara?wakikamatwa wale kesho na kesho kutwa watu mtalalamika na kuona wameonewa.

Kama mmeamua kumtumia ponda basi msijelalamika wenzenu wanapowatumia viongozi wa dini maana wote mnapita njia zile zile

..Yanayotokea MTWARA yanatakiwa kulaaniwa na kila Mtanzania. Lakini ni lazima tuelewe kwamba yamesababishwa na DHULUMA pamoja na LACK OF OPPORTUNITIES kutokana na tawala mbovu za CCM.

..serikali, na vyombo, vimekuwa vinawatendea viongozi wa upinzani kama kwamba ni waasi wakati shughuli zao ziko kwa mujibu wa sheria.

..kwa hiyo, sishangai kuona wapinzani kuamua kuwatetea Mashekhe wa Uamsho kwasababu ni serikali iliyowaweka ktk fungu moja.

..Kuhusu Sheikh Ponda kufanya kampeni, CCM wamekuwa wakitumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya amani kufanya kampeni dhidi ya vyama vya upinzani. CCM ndio walioanzisha utaratibu huo, na vyama vya upinzani vinaiga yanayofanywa na CCM.
 
hivi huyo kawaachia wangapi wenye kesi kubwa sana za kukaa jela miaka chungu nzima kwa kulipa faini ndogo sana!? Unasahau kuna kitu kinaitwa dhamana
unafananisha kesi ya kina babu seya na ya uamsho fahamu kwanza uamsho bado hawajahukumiwa kina babu seya walishahukumiwa,au rais akiachia wafungwa na uamsho waachiwe kwa msamaha wa rais?

Duniani kuna vituko!

Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
 
Mbona mnanyegeka sana kima nyinyi...

Mnataka msikie yanayowapendeza tu.

Tizameni TBC pumbavu.
Tbccm ni moja ya channel ambazo nimeziblock kwenye vingamuzi vyangu vyote means sifuatilii hiyo channel kabisa
 
Hapa ndipo panapoogopesha. Wapinzani mnapita mule mule walipopita CCM kwa kisingizio mbona wale walifanya hivi

Dhuluma and lack of opportunities aisee hata boko haram na alkaida watasema hivi
..Yanayotokea MTWARA yanatakiwa kulaaniwa na kila Mtanzania. Lakini ni lazima tuelewe kwamba yamesababishwa na DHULUMA pamoja na LACK OF OPPORTUNITIES kutokana na tawala mbovu za CCM.

..serikali, na vyombo, vimekuwa vinawatendea viongozi wa upinzani kama kwamba ni waasi wakati shughuli zao ziko kwa mujibu wa sheria.

..kwa hiyo, sishangai kuona wapinzani kuamua kuwatetea Mashekhe wa Uamsho kwasababu ni serikali iliyowaweka ktk fungu moja.

..Kuhusu Sheikh Ponda kufanya kampeni, CCM wamekuwa wakitumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya amani kufanya kampeni dhidi ya vyama vya upinzani. CCM ndio walioanzisha utaratibu huo, na vyama vya upinzani vinaiga yanayofanywa na CCM.
 
Hawa Watanzania waisilamu au wakristu ni wanachama wa chama gani? Mimi nilikuwa nafikiri vyama vinapigiwa kutokana na uanachama wa wafuasi wake ambao ndio wakeretwa wakubwa. Ukweli wa mambo ni kwamba waliojiandikisha kupiga kura wana itikadi zao na kuna mrejesho wa wanachama kwenye upigaji wa kura. Chadema ina wanachama wangapi waliojiandikisha? Je, CCM ina wanachama wangapi waliojiandikisha?
Watu wanabadilisha mitazamo ya kisiasa ,wengine wa chadema wanaweza hamasika kupigia kura CCM hivo hivo wa CCM wanaweza kupigia kura chadema ,watu wanabadilika kila siku kwahiyo unajidanganya kuwaza kuwa wafuasi wa chadema hawajajiandikisha au wa CCM ndo wengi wakati kura ni siri
 
Kwani kutenda haki hadi UTOE AHADI? Kuna kitu kinaitwa dhamana pia kwanini anashindwa kuwapa dhamana? Makosa yao mbona hadi leo hii hatuyajui? Ni makosa kweli walitenda au walibambikiwa?

Kwani tunajua hii Serikali dhalimu ilivyo vizuri kubambikia kesi FAKE kwa Watanzania mbali mbali.
Magu hakuwafunga akina babu seya ila aliwatoa baada ya kuhaidi pia. Je uamsho amehaidi kuwatoa?
 
Sakata la uamsho linakurupukiwa kama sakata la mkulima. Kuna mengi hapa sema mihemko ya kutafuta kura imetawala. Umeshasikia mauaji yanayoendela mtwara?wakikamatwa wale kesho na kesho kutwa watu mtalalamika na kuona wameonewa.

Kama mmeamua kumtumia ponda basi msijelalamika wenzenu wanapowatumia viongozi wa dini maana wote mnapita njia zile zile
Dada Mimi ni mkristo kkkt naijua imani ya mitume,ungamo la dhambi ,sala ya bwana ,Imani ya nikea ,imani ya atanasio na ahadi ya ubatizo tena kwa saivi nasoma online theology na philosophy chuo kimoja Denmark ila nakuambia hao masheikh wanaonewa bure kama kuna Tatizo au kesi ya kujibu wapelekwe mahakaman basi?
Mwaka wa 8 huu wako rumande hamna kesi yeyote
 
Duh...!, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Viongozi wa dini, ni viongozi wa kiroho, hawapaswi kuwa amuru wafuasi wao, wamchague nani, au chama gani!, huku ni kuchanganya dini na siasa.

Maadam Taasisi rasmi ya Waislamu wa Tanzania ni Bakwata, then tunajua Waislamu wa ukweli wa Tanzania, wanataka maendeleo ya kweli, hivyo tunajua watamchagua nani na chama gani, kitakacho weza kuwaletea maendeleo ya kweli, lakini Waislamu ni Shura ya Maimam, ambao hawajai hata fumba, waache wampigie kura mtu walioshauriwa na Sheikh Ponda.

Tena naomba kukumbushia angalizo langu hili kuhusu Muslim extremism na fundamentalism baada ya CCM na JPM kushinda urais kwa kishindo...

Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?
P
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Hapa ndipo panapoogopesha. Wapinzani mnapita mule mule walipopita CCM kwa kisingizio mbona wale walifanya hivi

Dhuluma and lack of opportunities aisee hata boko haram na alkaida watasema hivi

..Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wanatumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya viongozi wa dini kumshambulia Tundu Lissu. Sasa kuna ubaya gani Shekhe Ponda kumsaidia Tundu Lissu ktk kampeni zake? Tena Ponda ana afadhali kwasababu hajaisema vibaya CCM wala mgombea wake.

..Mimi siwapendi Boko haram na Al Qaeda, lakini ni lazima tuelewe ni kwanini watu wanajiunga na ugaidi. Mara zote ni kutokana na injustice na lack of opportunities. Hivi vikundi huwa haviibuki tu hivihivi bila kuwa na mazingira fulani ya watu kunyimwa haki zao, kukosa fursa, kutengwa, kubaguliwa, na kukosa matumaini ya kusikilizwa na watawala.
 
..Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wanatumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya viongozi wa dini kumshambulia Tundu Lissu. Sasa kuna ubaya gani Shekhe Ponda kumsaidia Tundu Lissu ktk kampeni zake? Tena Ponda ana afadhali kwasababu hajaisema vibaya CCM wala mgombea wake.

..Mimi siwapendi Boko haram na Al Qaeda, lakini ni lazima tuelewe ni kwanini watu wanajiunga na ugaidi. Mara zote ni kutokana na injustice na lack of opportunities. Hivi vikundi huwa haviibuki tu hivihivi bila kuwa na mazingira fulani ya watu kunyimwa haki zao, kukosa fursa, kutengwa, kubaguliwa, na kukosa matumaini ya kusikilizwa na watawala.
Salute Mkuu...
 
Kwani kutenda haki hadi UTOE AHADI? Kuna kitu kinaitwa dhamana pia kwanini anashindwa kuwapa dhamana? Makosa yao mbona hadi leo hii hatuyajui? Ni makosa kweli walitenda au walibambikiwa?

Kwani tunajua hii Serikali dhalimu ilivyo vizuri kubambikia kesi FAKE kwa Watanzania mbali mbali.
Sisi ndio waislamu na ndio tunaujua ukweli kuna audio nikikuletea hapa kuna mihadhara ilikuwa inafanyika hapa Arusha utashangaa mimi siwezi kumtetetea muislamu mwenza kwa kauli kama zile lkn kwavile hichi ni kipindi cha kutafuta kula wacha waislamu tutumike kama beleshi kwasababu wako waislamu wanaojitambua na wasio jitambua

Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
 
Yaani mtu anaetumia viongozi wa dini hasaa wa kiislamu jua kaishiwa kweli.

Waliowafunga uhamsho ni Dr Shein na JK nakuamua funguo zitupwe; wote waislamu.

Uhalisia ni kwamba kwa Tanzania bara (sio visiwani) hakuna dini iliyo tolerate kwenye kushirikiana kama ya waislamu, asilimia kubwa wanaishi Pwani maeneo ambayo washazoea kuchanganyikana na watu wa dini, makabila na rangi tofauti.

Yaani we ukisema utawatoa uhamsho ni asilimia chache sana watakao kuunga mkono kutokana na walichokuwa wakikifanya huko Zanzibar hawana support kubwa ya waislamu.

Hoja za waislamu ni kulinda namna zao za kuishi tu maswala ya ndoa, mirathi na kutaka jamii iheshimu taratibu zingine za dini yao.

Lakini we ukisema uende na demagogue wa kiislamu kama Sheikh Ponda kuropoka nae majukwaani ni kupoteza muda utapata support lakini si ya vileee, waislamu wengi Tanzania ndio wapo more tolerate kwenye jamii.

We chunguza hata JF ni mara chache sana utakuta muislamu kaanzisha mada kisa sheikh kasema jambo zuri juu ya upande wake wa siasa au anaponda kisa mchungaji kasema jambo baya kwa upande wake wa siasa.

Wengi ujitokeza na kuchangia kwenye mada ambazo namna zao za kidini zinapojadiliwa.
ahahaaaaa...aya na wewe pia tumekusikia buku saba. kakojoe ulaleeeeeee
 
mk
..itabidi sasa uzoee mazingira mapya ya viongozi wa dini kupiga kampeni za kisiasa.

..ccm ndio walioanzisha utaratibu huo kwa kutumia kamati ya amani ya viongozi wa dini, wapinzani wao wanaiga tu.
mkuu achana nao hao malumumba..yan ccm akinya kanya tu lakin cdm akinya kaharisha
 
Imevuja: Kunampango wa kuwateka Mawakala wa Chadema usiku wa kuamkia Uchaguzi ushauri wangu Chadema lindeni Mawakala kwa udi na uvumba
 
Kwani masheikh wamekamatwa lini?

Huu ni ushabiki wa kisiasa na kutafuta sympathy kwa waislamu

Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
kwa hiyo kama wamekamatwa zamani hawastahili kutendewa haki?!!! ccm mmelaaniwa nyie. kwa nini hamuwafikishi mahakaman ili kama ni kufungwa wafungwe na hata kama ni kunyongwa wanyongwe ijulikane moja? kwa nini ccm mnawashikilia hawa binadamu wenzetu kidhuluma bila kuwafikisha mahakamani??!!!!!!?
 
Tunaweza kuwa na mwanzo mpya na mzuri ikiwa kila mtu atapiga kura na kura yake itahesabiwa kwa haki
 
Back
Top Bottom