Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Hakika mkuu....si siku nzuri kwa wapenzi wa kweli wa mpira wa miguu.....Leo siku yangu imeharibika kwelikweli
Hakika mkuu....si siku nzuri kwa wapenzi wa kweli wa mpira wa miguu.....Leo siku yangu imeharibika kwelikweli
Comment bora ya muda wote tangu niifahamu JF🤭.Acheni kelele na unafiki wenu. Hamkuona Feisal kaangushwa kwa kuchwzewa rafu.
Mmezoea kubebwa sasa mnadhani wofe wanabebwa. Nonsense
refa ni mataqo
Zile kelele zimeisha oooh uto hii ni fire sijui mayele ni kituko ana ana ana. Kwendraaaahh nyie ni topolo tuHamjawahi kubebwa? Waamuzi wetu wanashida huyu wa leo sio wa kwanza!
Kwa hiyo Yanga kutoka sare ni big story? Kipi cha ajabu?Zile kelele zimeisha oooh uto hii ni fire sijui mayele ni kituko ana ana ana. Kwendraaaahh nyie ni topolo tu
Kona filimbi aliipiga Namungo wakishambulia kuashiria ni offside ,alipoona amecheka akachekaTena mchezaji mmoja katangulia mbele ya mpiga penati.
Hapo Refa akili zimemtoka kabisa.
Anacho waza ni Yanga kupata goli Tu basi.
Tunataka matuta ya halali siyo michongoKwahiyo mleta uzi unatakaje?
Huyu wa Leo ni wa kuchunguzwa vizuri ili kama amepewa hela,Takukuru watimize wajibu wao.Hili tukio la Leo ni aibu Kwa mpira wa Tanzania.Hata Yanga ya mwaka huu Kwa jinsi ilivyosajili na Kwa jinsi inavyocheza,sidhani kama inamhitaji refa kama wa Leo. Yanga ya mwaka huu inatosha Sana haihitaji kubebwa na marefa uchwara hao.Huyu refa afungiwe maisha yake yote!
Hatutaki marefa wasengeki namna hii..
kuwa refa basiTunataka matuta ya halali siyo michongo
Daima kununua marefaYanga daimaaaaaa
We km hujaona sioAcheni kelele na unafiki wenu. Hamkuona Feisal kaangushwa kwa kuchwzewa rafu.
Mmezoea kubebwa sasa mnadhani wofe wanabebwa. Nonsense
Hivi huyu refa ni nani?Tumjue ili siku nyingine tuwe makini naeHuyu refa huenda akafungiwa kuchezesha ligi kuu kwa muda fulani. Tukiweka pembeni ushabiki na utani wa jadi wa Simba na Yanga, ukweli ni kwamba refa ameteleza leo kwenye maamuzi yake.