Hahahahaha hao ni mabingwa wa kihistoria wamewekezaa hela sio hao ambao ni tawi la makoloo
 
Penati haijapigwa baadhi ya wachezaji na refa wapo ndani ya 18.

Hii ni aibu kubwa mno kutokea , tunajua refa kapewa bahasha lakini si kwa aibu hii.
Screenshot_20211120-201948_1.jpg
 
Huyu refa afungiwe maisha yake yote!

Hatutaki marefa wasengeki namna hii..
Huyu wa Leo ni wa kuchunguzwa vizuri ili kama amepewa hela,Takukuru watimize wajibu wao.Hili tukio la Leo ni aibu Kwa mpira wa Tanzania.Hata Yanga ya mwaka huu Kwa jinsi ilivyosajili na Kwa jinsi inavyocheza,sidhani kama inamhitaji refa kama wa Leo. Yanga ya mwaka huu inatosha Sana haihitaji kubebwa na marefa uchwara hao.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huyu refa huenda akafungiwa kuchezesha ligi kuu kwa muda fulani. Tukiweka pembeni ushabiki na utani wa jadi wa Simba na Yanga, ukweli ni kwamba refa ameteleza leo kwenye maamuzi yake.
 
Huyu refa huenda akafungiwa kuchezesha ligi kuu kwa muda fulani. Tukiweka pembeni ushabiki na utani wa jadi wa Simba na Yanga, ukweli ni kwamba refa ameteleza leo kwenye maamuzi yake.
Hivi huyu refa ni nani?Tumjue ili siku nyingine tuwe makini nae
Hatufai Kwa mstakabali wa soka letu. Hatufai


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom