balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,437
- 12,558
Hasa kale ka Mr Silim kale ka Ally Kamwe.Halafu wanashindwa pia kuelewa filimbi ilipolia Saido akaenda kupiga ndipo wachezaji wengine waliondoka naye na Saido hakupiga moja kwa moja ,alitisha kidogo ndo akapiga.Kuna yale machambuzi pale azam yale ni makolo kabisa ndo yamewalisha watu matango pori.