MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.
Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?
Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.
Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?
Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.
Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.