Ushahidi anao tajiriBila ushahidi hizo ni porojo
Simba kafanyaje tenaSimba buaaanaa
"Wachezaji wangu wamecheza vibaya leo kwakuwa wanaogopa Kuumia kutokana na Uwanja kuwa mbovu" Cedric Kaze Kocha Msaidizi Yanga SC.
Taarifa: Sports Extra Clouds FM leo.
Mlio nae karibu huyu Kocha Msaidizi wa Yanga SC Cedric Kaze muulizeni Yanga SC yake ilipocheza Kandanda Safi ( la Pasi nyingi ) dhidi ya KMC FC katika Uwanja mbovu kuliko hata huu wa leo wa Majimaji Songea na Kushinda Wachezaji wake walikuwa hawahuogopi huwa Uwanja na badala yake wameugopa wa Ilulu walioponea Chuouchuou leo kwa Kutoa Sare ya Kubebwa na Mwamuzi ( Referee ) wa hovyo kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania?
Hela tamu sanaYani tuta la uwongo,na tuta linapigwa wachezaji robo mzima wapo ndani ya 18 na refa ameshindwa kung'amua mwanangu wa miaka 13 kang'amua Kuna mapungufu
Na msahau ubingwa, mtausikia kwa Manara tyuTuachie Tim yeti
Kuna mchezaji anaweza kukudanganya refa ukakubali mfano Morison kwa sabsbu ya akili kubwa sasa Fei hata kudanganya hajui anakosa balance mpira unachukuliwa kisha sekunde kadhaa anaanguka ,tafsiri sahihi aliambiwa aanguke tu atapewa penaltHamjawahi kubebwa? Waamuzi wetu wanashida huyu wa leo sio wa kwanza!
Wewe mbwiga lefa ndiyo kitu gani? Mumetoka mbwinde kwenu hata kupiga danadana hamuwezi mnajifanya kuujua mpira.makolo mliwahi kuomba eti lefa atoke nje ya nchi
Kelele na matusi ya nini?Na wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio
Jamaa yameumia sana. Yameshasahau mambo yao. Hahahahah wasubiri dec 11Na wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio
Mnateseka na penalty ya jana wakati nyie penalty zenu kibao tu za magumanishi.Mkiambiwa tuungane kukemea hili mnasema KILA MTU ASHINDE ZAKE.Tulieni sasa 🤣🤣🤣Simba kafanyaje tena
Utopolo ndio imesahau mambo yao inafurahia sare.Jamaa yameumia sana. Yameshasahau mambo yao. Hahahahah wasubiri dec 11
Tumetulia ndio maana point zimepungua mbili.Mnateseka na penalty ya jana wakati nyie penalty zenu kibao tu za magumanishi.Mkiambiwa tuungane kukemea hili mnasema KILA MTU ASHINDE ZAKE.Tulieni sasa 🤣🤣🤣
Sio kupewa zilikuwa ni Halali haswaa... Na hata mkatujeruhia wachezaji wetu kisa mihela ya tajiri...NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI
1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati
2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card
3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card
4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana
5. Simba vs Namungo
Namungo red card
6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty
Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6
HIYO HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
Wapumbavu Sana ,wengine hawajaangalia mpira wanaongea kwa kusikia hearsay,yule mchezaji wa Namungo alitumia nguvu nyingi,kapiga mpira na mguu.Kumbuka wachezaji wa Namungo walikuwa wawili na mpira alikuwa nao Fei.Nguvu ilikuwa excessive .Acheni kelele na unafiki wenu. Hamkuona Feisal kaangushwa kwa kuchwzewa rafu.
Mmezoea kubebwa sasa mnadhani wofe wanabebwa. Nonsense
Sawa kabla ya Christmas tutaelewana vzrMnateseka na penalty ya jana wakati nyie penalty zenu kibao tu za magumanishi.Mkiambiwa tuungane kukemea hili mnasema KILA MTU ASHINDE ZA
KE.Tulieni
Kuna yale machambuzi pale azam yale ni makolo kabisa ndo yamewalisha watu matango pori.Wapumbavu Sana ,wengine hawajaangalia mpira wanaongea kwa kusikia hearsay,yule mchezaji wa Namungo alitumia nguvu nyingi,kapiga mpira na mguu.Kumbuka wachezaji wa Namungo walikuwa wawili na mpira alikuwa nao Fei.Nguvu ilikuwa excessive .
Kuna yale machambuzi pale azam yale ni makolo kabisa ndo yamewalisha watu matango
Sasa usimind ndugu kipigo Tareh 11 kipo palepale hivyo Christmas mtakuwa mshatolewaNa wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio
Huu ndio ushabiki mandazi sasa yaani watu wanajadili la maana yeye kama umbile XX anakazana kulinganisha na jambo ambalo asemi ni nani ni wapi na tukio gani ni mechi gani lkn anaona alichofanya refa katika mechi ya yanga na kwakuwa yanga baasi ni sawa.Na wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio