Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Leo habari kubwa sio tena hotuba za mzee baba wala ccm bali MBOWE NA CDM.... akili kubwa
Naipenda sana hii. Halafu watu wasiojua maana ya hii watapinga.
Nataman wanachama wote wa cdm waende kwa wingi wakaonyeshe kabisaa kuwa bado wapo na hawaterereki kwa lolote lile
 
Mkuu Tindo,
Umemjibu vema sana huyu kilaza wa Lumumba street! Mwambie Mombasa kuna ajira za madumejike yenye IQ kama zake…!
Nafikiri ukosefu wenu wa akili na maarifa ya shughuli za kufanya na pia njaa inayo wakumba kwa uvivu wenu ndiyo, inawasumbua.

Kama mmeamua kushinda mitandaoni kwa kudai kuwa mmejiajiri basi ingekuwa vyema mkawa mnachangia hoja za kuwasaidia wenzenu wenye shida, badala ya kutukana watu msio wajua. Haileti maana na wala haipendezi, especially kwa mtu anaye sadikika kutoa ajira kwa wengine.
 
Nasema hivi, njoo na verified user Kisha uweke hiyo elimu na tuone ulicho achieve, Ni kipi so far umelifanyia taifa hili. Nipo kwenye mitandao muda wote maana simu yangu ninayo mkononi muda wote, naweza kupiga simu, kujibu sms nk. Kuwepo mitandaoni sio kama kwenda
kanisani useme unazima simu. Niko huru maana nimejiajiri na kutoa ajira kwa wengine, mimi sio mtumwa wa kazi za wanaume wengine kama ww. Kwakuwa ww umeajiriwa na wanaume wenzio unapaswa kuripoti kwenye hiyo ajira kuanzia asubuhi mpaka jioni, kinyume na hapo ukifukuzwa kazi ukija mtaani lazima uolewe.
Wewe una njaa na tamaa ya kutaka makubwa ambayo huna uwezo nayo.

Kama umejiari nakupa BIG UP! Ni vizuri basi ukazitumia hizo senti zako kujielimisha zaidi ili upanuke kidogo kimawazo na kimaarifa.

Kuwa mtandaoni mda wote sikumaanisha kuwa online, nimemaanisha kuparticipate kwenye Social Community Media kama JF, Twiter na kadhalika. Namaanisha uko active.

Kama hujarizika na hiyo description yangu ndogo kuhusu profession yangu, basi sina uwezo mwingine wa kukurizisha. Ichukulie kama ilivyo. Kama uta amini sawa na kama huta amini ni sawa pia. Ni uamuzi wako.

Kwa hali hiyo ningekuomba tuache kurumbana maana najisikia uchungu sana. Nakuonea huruma sana. Naona sikutendei haki kwa uwezo wako mdogo. Ningependa nikusaidie lakini sijui nianzie wapi?

Nimeenda Kanisani jana kukuombea kwa mungu wangu ili mungu wako akupe nguvu na ujasiri wa kufanya kitu kitakacho kuwezesha kukuondolea frustrations zako za maisha.

Hoja zangu ambazo wewe unaziona ni pointless na zina texts ndefu ambazo zina ku bor, utakuwa unanifanyia uungwana kama ukaziacha bila ku comment chochote.
 
Busara iliyotumika kuamua CHADEMA kushiriki sherehe za Uhuru jijini Mwanza ziheshimiwe milele! Asante Mbowe umeongea speech nzuri sana kwa mduda mfupi.
 
Kosa kubwa la kwanza kwa CDM ilikuwa kumpokea Lowassa. Mwisho wake tumeuona.

Kosa la pili ni hili la kuhudhuria sherehe za Uhuru zikiongozwa na mtu aliyeapa kuwaangamiza kwa njia zozote zile.

Sikutegenea hili baada ya umafia waliofanyiwa kwenye uchaguzi uliogeuka uchaguzi. Na kesho wataamkia mahakamani kwenye kesi za kubambikwa.

Uongozi CDM ujitafakari.
Wewe sio standard unit ya kujaji lipi ni kosa na lipi si kosa. Siasa ni kitu dynamic sana. Hoja yako eti kwanini walimpokea Lowasa ni dhaifu sana.
 
Wewe sio standard unit ya kujaji lipi ni kosa na lipi si kosa. Siasa ni kitu dynamic sana. Hoja yako eti kwanini walimpokea Lowasa ni dhaifu sana.
Mimi sio jaji lakini wewe unajaji hoja yangu. Wewe ni standard unit ya ku classify opinion za watu kuwa strong au dhaifu? Tuseme hivi, hayo ni mawazo yangu na kila mtu yupo entitled to his/her opinion.
 
Wewe una njaa na tamaa ya kutaka makubwa ambayo huna uwezo nayo.

Kama umejiari nakupa BIG UP! Ni vizuri basi ukazitumia hizo senti zako kujielimisha zaidi ili upanuke kidogo kimawazo na kimaarifa.

Kuwa mtandaoni mda wote sikumaanisha kuwa online, nimemaanisha kuparticipate kwenye Social Community Media kama JF, Twiter na kadhalika. Namaanisha uko active.

Kama hujarizika na hiyo description yangu ndogo kuhusu profession yangu, basi sina uwezo mwingine wa kukurizisha. Ichukulie kama ilivyo. Kama uta amini sawa na kama huta amini ni sawa pia. Ni uamuzi wako.

Kwa hali hiyo ningekuomba tuache kurumbana maana najisikia uchungu sana. Nakuonea huruma sana. Naona sikutendei haki kwa uwezo wako mdogo. Ningependa nikusaidie lakini sijui nianzie wapi?

Nimeenda Kanisani jana kukuombea kwa mungu wangu ili mungu wako akupe nguvu na ujasiri wa kufanya kitu kitakacho kuwezesha kukuondolea frustrations zako za maisha.

Hoja zangu ambazo wewe unaziona ni pointless na zina texts ndefu ambazo zina ku bor, utakuwa unanifanyia uungwana kama ukaziacha bila ku comment chochote.

Mimi nayamudu maisha yangu kwa kiwango kikubwa, yaani ni mtanzania wa kipato cha kati. Sihitaji msaada wa mtu yoyote maana uwezo na ujanja wa kupata pesa ninao. Kama unataka kutoa msaada wapelekee wenye uhitaji huo maana mimi nimeshavuka hatua ya kusaidiwa. Usipoteze muda wako kuniombea maana mimi nina uhakika wa maisha bora, au ya kuridhisha mpaka nitakapofariki kwa jinsi nilivyojipanga, labda itokee majanga ya asili sio kinyume cha hapo.

Ni hivi humu ndani tuna uelewa na vipawa tofauti tofauti, usije na vitisho na majigambo ya kipuuzi ukidhani huku ndani tumejaa wajinga kwa mujibu wa mtazamo wako. Kama umeamua kumsifia rais na serikali hiyo ni haki yako kikatiba, na sio lazima wote tumsifie au kumkubali kwani na sisi ni haki yetu kikatiba. Unapokuja na lugha ya matusi, kejeli na vitisho utapata majibu stahiki na itatumika lugha hiyo hiyo unayoweza kuielewa vyema. Unatukana, kukejeli na kutoa vitisho vya kipuuzi, kisha unalalamika tabia unayoifanya ikifanywa na wengine! Ukitaka kupata heshima, changia kwa staha na vumilia mitazamo ya watu wengine, kinyume na hapo utaipata fresh.
 
Mimi sio jaji lakini wewe unajaji hoja yangu. Wewe ni standard unit ya ku classify opinion za watu kuwa strong au dhaifu? Tuseme hivi, hayo ni mawazo yangu na kila mtu yupo entitled to his/her opinion.
Tatizo lako liko kwenye uwasilishaji wa hoja yako. Uliiwasilisha kama established fact badala ya mtazamo wako. Ndio maana nikasema wewe sio SI unit.
 
Tatizo lako liko kwenye uwasilishaji wa hoja yako. Uliiwasilisha kama established fact badala ya mtazamo wako. Ndio maana nikasema wewe sio SI unit.
Kiongozi, vitu vingi humu ni opinion za watu labda iwe imesemwa vinginevyo.
Usisahau na wewe unafanya hivyo hivyo. Case closed, hopefully.
 
CHADEMA ina nguvu ya umma, leo Magufuli kaamini kwamba CHADEMA sio chama cha hovyo hovyo.

Uwanja umefurika watu hado ukatema nje.

Hizi sherehe tulizoea kusikia watumishi wa umma wakilazimishwa kuhudhuria, leo imekuwa tofauti.
 
Leo magufuli alikuwa anajichekesha huku akimtaja taja mbowe lkn mbowe wala hakuonesha ushamba wa kujipendeza alikuwa cool tu kawaida yake hana shobo za kishamba mtoto wa mjini
 
Back
Top Bottom