Akileta za kuleta makamanda watamtia adabuWasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu
Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
Akileta za kuleta makamanda watamtia adabu
jambo jema lazima lipongezwe but why now
Kuhudhuria sherehe ni lazima kutoa tamko rasmi?!Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kesho
View attachment 1284723
Mmh! Mkuu kwa utawala huu unaweza hats usiruhusiwe kuvuka barabaraKudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Ndiyo. Kuna sabb imetolewa ktk hiyo barua. Isome tenaKuhudhuria sherehe ni lazima kutoa tamko rasmi?!
Hapana. Lkn busara za wengi zimeamua hivyoIlikuwa lazima waende huko Mwanza?