DAH! Suala la Mahakama ya Kadhi ni usaniii tu wa kisiasa. Hawa jamaaa waliamua kuwaongopea waislamu kwa makusudi ili wapate umaaarufu na kura nyingi. Kweli walifanikiwa kupata asilimia hizooo ningi walizopata, lakini hili ni wazi kwua waliwapiga changa la macho
Hii ni kwa kuwa walijua tangu awali kuwa ni suala gumu kuliingiza kwenye jamii ya watanzania, lakini pia walijua kuwa halitekelezeki, walifanya kwa ushabiki wakijua matokeo.
Dah, hawa jamaa kwa fiksi ni kiboko, sijuia wafananishwe na nini. lakini hili litawaumbua.
Hii ni kwa kuwa walijua tangu awali kuwa ni suala gumu kuliingiza kwenye jamii ya watanzania, lakini pia walijua kuwa halitekelezeki, walifanya kwa ushabiki wakijua matokeo.
Dah, hawa jamaa kwa fiksi ni kiboko, sijuia wafananishwe na nini. lakini hili litawaumbua.