ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,728
- 28,284
Una ushahidi weka hapaAlipola korosho kwamanufaayake binasfi
Una ushahidi weka hapaAlipola korosho kwamanufaayake binasfi
Wenye akili?Umechelewa sana kujua hilo mkuu.
Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.
Huwa nikifika hili eneo la Kijazi Interchangee namkumbuka Magufuli. Hilo eneo gari zinakimbia sana.Ama kwa hakika nchi inapigwa kwasasa. Ina majizi yanayoiba bila hata kumuogopa Mungu .
View attachment 2949137
maku weeNafasi ya kwenda peponi yaani kwenda mbinguni muumini mwenzetu Mh sana Yohani Magufuli ameishika muumini mwenzie wa kanisa katoliki Mukatukumeni Tundu Lissu, Nduguze Magufuli wamwone TUNDU LISU kwa njia ya kitubio amsamehe Magufuli kwa yale aliyomtendea akiwa duniani.
Vinginevyo bila Tundu Lissu kumsamehe Magufuli kabla ya Tundu LISSU hajaondoka duniani basi Magufuli atakutwa tohorani alipo mpaka sasa. Mtahani kabuli, mtaweka malumalu, mtaweka mauwa yote ni bure funguo za pepo za Magufuli anazo Tundu LIssu
Habari zimfikie Mafene mkopeshaji wa Mpwapwa
atazungumza sana na kukaza misuli ya shingo kumtetea katili yule Magufuli utetezi wake ni bure sisi wakatoliki wabobezi tunajua kabisa Magufuli ana hoja ya kujibu mbele ya mungu kwa risasi zile alizomiminiwa na watesi wake
MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE TUNDU LISSU EE BWANA.
Pamoja na tofauti hiyo lakini haiwezi fika 500B mkuu
Japo tunajua hawa jamaa ni wapigaji, lakini mkuu, kwani umbali wa kutoka Dar-Arusha na Dar-Kigoma ni sawa?
Na wewe uliamini alitumia fedha za ndani?Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.
Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
Kuna ukarabati kama ukarabati kwa ajili ya usalama wa miundombinu na maendeleo ya jumla ya watu na kuna ukarabati kwa ajili ya kukamata attention za wajinga kwa ustawi wa mtu binafsi.Pamoja na tofauti hiyo lakini haiwezi fika 500B mkuu
Arusha-Dar ukarabati wa reli uwe 5b! Mkuu unaota au akili imeishia hapo? Inawezekana kweli hizi 500b kuna upigaji ambayo Sasa ni fashion, lakini Magufuli alikuwa muongo wa kutupa . Hakuna uwezekano wa rail iliyokuwa imechakaa vile ifufuliwe kwa 5b.Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.
Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
Toka uzaliwe leo ndo umeandika point.Arusha-Dar ukarabati wa reli uwe 5b! Mkuu unaota au akili imeishia hapo? Inawezekana kweli hizi 500b kuna upigaji ambayo Sasa ni fashion, lakini Magufuli alikuwa muongo wa kutupa . Hakuna uwezekano wa rail iliyokuwa imechakaa vile ifufuliwe kwa 5b.
Nonsense -
Bora ya JPM, ana Cha kumsema. Mpaka CCM wanatembelea mafanikio yake tu. Miaka 3 ya SA100 anajinasibu Kwa mafanikio ya JPM tuKatika mambo ambayo hayati Mkapa alijitahidi kwenye Uongozi wake ni kufanya Teuzi kwa kuangalia taranta ya muhusika
Magufuli alipoingia tu bungeni Mkapa akamteua kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi chini ya mama Anna Abdallah na baadae akampandisha kuwa Waziri kamili
Kwa kifupi Utume wa John Magufuli hapa Duniani ulikuwa ni " Kujenga Miundombinu"
Hata sasa tunaenjoy Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
Mungu wa Mbinguni awarehemu Ben Mkapa na John Magufuli
Wazee wa Legacy tunagonga Wine tu