Namkumbuka kwa kujimwambafai bila mpango, wazungu wakamfinya mbupu kidogo mpaka akamuomba Kikwete amsaidie.
 
Ama kwa hakika nchi inapigwa kwasasa. Ina majizi yanayoiba bila hata kumuogopa Mungu .

 
Nafasi ya kwenda peponi yaani kwenda mbinguni muumini mwenzetu Mh sana Yohani Magufuli ameishika muumini mwenzie wa kanisa katoliki Mukatukumeni Tundu Lissu, Nduguze Magufuli wamwone TUNDU LISU kwa njia ya kitubio amsamehe Magufuli kwa yale aliyomtendea akiwa duniani.

Vinginevyo bila Tundu Lissu kumsamehe Magufuli kabla ya Tundu LISSU hajaondoka duniani basi Magufuli atakutwa tohorani alipo mpaka sasa. Mtahani kabuli, mtaweka malumalu, mtaweka mauwa yote ni bure funguo za pepo za Magufuli anazo Tundu LIssu


Habari zimfikie Mafene mkopeshaji wa Mpwapwa
atazungumza sana na kukaza misuli ya shingo kumtetea katili yule Magufuli utetezi wake ni bure sisi wakatoliki wabobezi tunajua kabisa Magufuli ana hoja ya kujibu mbele ya mungu kwa risasi zile alizomiminiwa na watesi wake

MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE TUNDU LISSU EE BWANA.
maku wee

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.

Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
 
Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.

Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
Na wewe uliamini alitumia fedha za ndani?
 
Pamoja na tofauti hiyo lakini haiwezi fika 500B mkuu
Kuna ukarabati kama ukarabati kwa ajili ya usalama wa miundombinu na maendeleo ya jumla ya watu na kuna ukarabati kwa ajili ya kukamata attention za wajinga kwa ustawi wa mtu binafsi.

Wenye akili hatujasahau zile gorofa zilizojengwa kwa mil.500
 
Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.

Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
Arusha-Dar ukarabati wa reli uwe 5b! Mkuu unaota au akili imeishia hapo? Inawezekana kweli hizi 500b kuna upigaji ambayo Sasa ni fashion, lakini Magufuli alikuwa muongo wa kutupa . Hakuna uwezekano wa rail iliyokuwa imechakaa vile ifufuliwe kwa 5b.
 
Arusha-Dar ukarabati wa reli uwe 5b! Mkuu unaota au akili imeishia hapo? Inawezekana kweli hizi 500b kuna upigaji ambayo Sasa ni fashion, lakini Magufuli alikuwa muongo wa kutupa . Hakuna uwezekano wa rail iliyokuwa imechakaa vile ifufuliwe kwa 5b.
Toka uzaliwe leo ndo umeandika point.
 
maku wee

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Nonsense -
Achana na mafundisho potofu,
Acha kabisa kutegemea kisicho kutegemea baada ya kufa kwako.

Unachokiamini ni upuuzi mtupu.

Tundu lissu sio MUNGU ni mtu Kama watu wengine kamwe hawezi kumpitisha magufuli aende peponi ama kuzimu.

Ukifa uwe umetenda mema au mabaya,
Matendo yako mwenyewe YATAKUFUATA.

Kila MTU atabeba furushi lake mwenyewe.
 
Katika mambo ambayo hayati Mkapa alijitahidi kwenye Uongozi wake ni kufanya Teuzi kwa kuangalia taranta ya muhusika

Magufuli alipoingia tu bungeni Mkapa akamteua kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi chini ya mama Anna Abdallah na baadae akampandisha kuwa Waziri kamili

Kwa kifupi Utume wa John Magufuli hapa Duniani ulikuwa ni " Kujenga Miundombinu"

Hata sasa tunaenjoy Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Mungu wa Mbinguni awarehemu Ben Mkapa na John Magufuli

Wazee wa Legacy tunagonga Wine tu
Bora ya JPM, ana Cha kumsema. Mpaka CCM wanatembelea mafanikio yake tu. Miaka 3 ya SA100 anajinasibu Kwa mafanikio ya JPM tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom