JamiiForums Usiku wa manane
mlinzi wa leo
 

Attachments

  • IMG-20171202-WA0110.jpg
    IMG-20171202-WA0110.jpg
    26.4 KB · Views: 32
Mwenzako nishakufa hivyo hadi nimezimika.
Kila glass nikinywa maji nakuona kwenye glass. Naweza nikakupa kabisa moyo wangu ukachukulie mkopo benki kwa jinsi nilivyokuelewa
mh!bado sana,ushamkosa mkopo wakati watu tuna cash.
 
Usiku mwema jaman muote mnakimbizwa na mamisukule mazombi yenye damu mdomon katikati ya makaburi huku yakipiga kelele na bundi wakitoa sauti wakat huo moshi Ukiwa unatoka kwenye makaburi misalaba ya makaburi Ikiwa inatetemeka na kutembeaaaaa
Demiss,please! naomba utuwekee ule uzi wako wa kwanza hapa tuchangie..
 
Back
Top Bottom