spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
Wewe ndio mshika mkia au sio?Washika mapembe mnagombana sio?
Ila shem si unanitega mwenyeweUmenifanya nicheke kwa nguvu, shida tu niachwe na baridi hii
Vibaya hivyo ujue Shem
Siwez kukufanyia hivyo Shem unajua vile nakuheshimuIla shem si unanitega mwenyewe
Yap yap!!!! CaptainDiNGi
Usiku mwema jaman muote mnakimbizwa na mamisukule mazombi yenye damu mdomon katikati ya makaburi huku yakipiga kelele na bundi wakitoa sauti wakat huo moshi Ukiwa unatoka kwenye makaburi misalaba ya makaburi Ikiwa inatetemeka na kutembeaaaaa

Huyu kiumbe aliyemteka atakua ana ujuzi wa kiintelijensia wa hali ya juu.
Hahahaha, nawasalimu kwa jina la usiku mnono![]()
Nikupe kampani?
Ama unaogopa kutema tena mate badae.
Swhwmu niliyopo wachawi wanapita kuleee
Nwaona mcho msacha oko mkunde, napigwa Chang's LA macho mchana kweupe peeee
