hahahaUsiku mwema jaman muote mnakimbizwa na mamisukule mazombi yenye damu mdomon katikati ya makaburi huku yakipiga kelele na bundi wakitoa sauti wakat huo moshi Ukiwa unatoka kwenye makaburi misalaba ya makaburi Ikiwa inatetemeka na kutembeaaaaa



Napita tu mie
hahaha![]()
Bado majogoo hayajawika mkuu karibuuu shit hole mwenzetuNimepamic huko nchi ya ma shithole!!!
Ila shithole mie nitakuja tu,vip shithole wenu pogba Myweather yupo?
Vip Grace Mugabe?
Na je,huyu mwenye dushe nukta yupo?
Ni saa ngp huko?
Hamna leo nasoma tuutumekuzoea ujue
Bado majogoo hayajawika mkuu karibuuu shit hole mwenzetu
asante sn,maana nasikia Trump kagusa pale pale.Wewe huku hatuongei siasa, sisi huku tunastory zetu za chit chat. Mbona kuna majukwaa huko ya kisiasa, si uelekee huko.![]()
asante sn,maana nasikia Trump kagusa pale pale.
Maafrika sisi bwana!!
Et magazeti yanajifungia yenyewe,Halafu Trump akisema et ni mbaguzi huh!!!Kwa u shithole huo wa viranja!!!
Watanzania katiba mpya na tume huru ndo kila kitu vinginevyo tabu tupu.Taifa limegawanyika kabisa.
Stori za mchana unaleta usiku.umekaanga bisi kwa makaa ya mawe?mwehu weee![]()
asante sn,maana nasikia Trump kagusa pale pale.
Maafrika sisi bwana!!
Et magazeti yanajifungia yenyewe,Halafu Trump akisema et ni mbaguzi huh!!!Kwa u shithole huo wa viranja!!!
Watanzania katiba mpya na tume huru ndo kila kitu vinginevyo tabu tupu.Taifa limegawanyika kabisa.
huyu sijui katokea wapi! leo mlinzi nani pale getini?humu hakuna mwanasiasa hata mmoja,ni mapopo na mabundi tuuWewe huku hatuongei siasa, sisi huku tunastory zetu za chit chat. Mbona kuna majukwaa huko ya kisiasa, si uelekee huko.
Ni vyema ukaangalia tag za eneo kabla hujaandika kitu la sivyo ukipigwa ban usilalamike.