HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Thad upo ndugu![]()
![]()
hatimae! Za Kishumundu mangi?
Thad upo ndugu![]()
![]()
hatimae! Za Kishumundu mangi?
tHaD!Rudi tafadhali nina salamu zako
Asante sana best!Nawatakia sikukuu njema ya x-mass

Atakuja komredi, kuna mwendesha mashtaka humu anaitwa bundi Thad nakukabidhi kwa Leo ukeshe nae mkiimba mapambia tuEbhu mwambie akujeee kuna mgeniii anayetaka mwenyejiii kabisaa tukeshe wote

Naona walimu mnagonganisha vichwa kumtafuta mwanafunzi wenuHahaha, teacher umesahau niko likizojje's tokea amilikiwe na Kichwa kichafu ndo katoweka kabisa.
Haya sasa hebu niambie mwanafunzi wangu Thad ulipomficha![]()

![]()
Tusifanyianee rohoo mbaya ujuee we ndugu yangu kabisaaa
Nipo best,nilikumiss tu bundi mwenzanguThad upo ndugu
Nilikuwa na fikiria nitakupata vipi nikukaribishe maana umepotea sana nduguAsante sana best!
Ila hujanipa mwaliko![]()
![]()
Abeee! Karibu mkesha wa krismastHaD!
Asante sana. Tunaendelea kuwakilisha ila naona dingi mtoto na inna wameingia mitini mapema. Mambo yanaendaje?Nipo best,nilikumiss tu bundi mwenzangu
Mwaliko wangu ungempa njiwa,angenifikishia maana yeye anajua pa kunipata. Nleterewa Nganengo anamtumiaga sana kunifikishia salamuNilikuwa na fikiria nitakupata vipi nikukaribishe maana umepotea sana ndugu
![]()
![]()
hatimae! Za Kishumundu mangi?

Haya anzisha pambio niitikieNipo hapa akujeeeee
Kumbe unalijuaaa hilooo ....ubarikiweeeeSiwezi kukufanyia roho mbaya, wahenga wanasema "vitu vizuri kula na nduguyo"!!
Kwa mara nyingie tena umenigawa bure... Ipo siku utanikumbuka tu![]()
sio bureee
TupoooMapopo mbona mnakimbia tena kulikoni?
EwiiiiiiiiiiiiiHaya anzisha pambio niitikie