Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Pamoja, kamanda

Pamoja, kamanda

Sijui kapotelea wap Inna
Hahaha, ila we nishakujua udhaifu wako nikitaka kukutoa huko "bound" ni kumteka tu Maserati na kazi inakua imeisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kule Jeshini wanaita "Bound" yaani kutembea kwa kujificha ficha ili adui asikushambulie. Am taking covers men! Mwishoni, I am the LMS!

Ndio naingia ivoo jirani usifunge kwanzaNaomba nifunge mlango
TuwekeeHuyu asiende kulala tafadhali, nataka nimwekee ile sinema ya kuzaliwa Emanuel, hata akilala kwa sofa sio mbaya.
Hahaha, ila we nishakujua udhaifu wako nikitaka kukutoa huko "bound" ni kumteka tu Maserati na kazi inakua imeisha![]()

Huyo atakua kwa yule Mtakatifu naniliu, labda usubiri ibada yao iingie mapumziko.Sijui kapotelea wap Inna
Wewe Mwl mwenzangu ulipotelea wapi? Hadi ukapotea na mwanafunzi wangu jje'sNa kwako pia Bundi mtiifu. Hivi ni wapi umenionea Bundi Thad?
Habari ya siku Nsumba boy!Ndio naingia ivoo jirani usifunge kwanza
Hahaha, ila we nishakujua udhaifu wako nikitaka kukutoa huko "bound" ni kumteka tu Maserati na kazi inakua imeisha![]()
???? Unataka kuamsha kitu gani??Aiyaaaas.maweeee
Mia miaPamoja, kamanda
Ooho!! Kama kweli simchezoHuyo atakua kwa yule Mtakatifu naniliu, labda usubiri ibada yao iingie mapumziko.
Hahaha hapo najua ujanja wote unaishia mfukoni

Haya sasa yesu mchanga labisa ana dakika 47 tangu atoke dunian
ata lisaa bado kabisaa