Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Ukimuona Inna mwambie anakesi na mimi. Tena mimi ndio mshitaki wake na ni hakimu wa kesi hiyo. dingi mtoto pia anakesi japo yake haina uzito sana.
Mambo yanasonga best,vyuma vyangu nimeshavipaka grisi, vimelainika sasa
Mwendesha mashtaka kwenye ubora wako

