sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,746
- 4,350
Wewe upo lindoni tulia, warushe walio enda churchLabda mkeshaaa wa balimi huo unapata
Wewe upo lindoni tulia, warushe walio enda churchLabda mkeshaaa wa balimi huo unapata
Mkuu hujaja na kamremboo hukoHahahahahaaha.. Hio kupunyua imenikumbusha zamani hizo tunacheza gololi!!
Bawa humu hawahusiki kabisa, humu ni popo na Bundi Staarabika.Bawa wangekuwepo mi ningesepa
Lindo lenyewe niko na anko angu apa tunasubiria wanaopitisha gongo usiku tupate chetuWewe upo lindoni tulia, warushe walio enda church
Ukitaka upate utamu wa kuangalia hizi movie za kikorea tafuta zile zakihistoria nzuri sana kama hii ya jumong mimi niliiangalia kuanzia 1-100Nachanganyaga nikichoka za kizungu na hamia kwa hawa jamaa pia nikiwachoka na rudi kwa wazungu.
Maana kuna popo bawa, na popo wa kawaida mzeeBawa humu hawahusiki kabisa, humu ni popo na Bundi Staarabika.
Ukitaka upate utamu wa kuangalia hizi movie za kikorea tafuta zile zakihistoria nzuri sana kama hii ya jumong mimi niliiangalia kuanzia 1-100View attachment 658607
Onja kidogoLindo lenyewe niko na anko angu apa tunasubiria wanaopitisha gongo usiku tupate chetu
Karibuu mkuuHodii!
Za kihistoria nazielewa sana mkuu.Ukitaka upate utamu wa kuangalia hizi movie za kikorea tafuta zile zakihistoria nzuri sana kama hii ya jumong mimi niliiangalia kuanzia 1-100View attachment 658607
Kuonjaaa lazimaOnja kidogo
Mkuu hujaja na kamremboo huko
Ndio usha lewa tayari hapo, ona unamuiga sharo kutembeaKuonjaaa lazima![]()
Hahahahahaaha!! Hakuna mkuu!!
Hahaha angalia usiegeshe kwenye mteremko likapitiliza mtoni komredi![]()
hatimae! Za Kishumundu mangi?Soma ticha, au bawaba za macho zimekua nzito nini?Hii Insha yote ya nini mkuu![]()
![]()
Ana rembua![]()
Tusifanyianee rohoo mbaya ujuee we ndugu yangu kabisaaa
Kama kitumbuaaAna rembua
Rudi tafadhali nina salamu zakoNgoja nikaegeshe kidogo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nikirudi nitafunga geti
LolKama kitumbuaa