JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Asante sana. Tunaendelea kuwakilisha ila naona dingi mtoto na inna wameingia mitini mapema. Mambo yanaendaje?
Ukimuona Inna mwambie anakesi na mimi. Tena mimi ndio mshitaki wake na ni hakimu wa kesi hiyo. dingi mtoto pia anakesi japo yake haina uzito sana.

Mambo yanasonga best,vyuma vyangu nimeshavipaka grisi, vimelainika sasa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huku ni mwendo wa kuzama kwenye mapipa ya mbege na kuibuka na supu ya mbuzi, Jana ndo nimebahatika kuipata mobiteli yangu na Leo nikaenda kununua vocha mjini bado sijarudi ndomana unaniona hewani
Ila nimekuhamu mpaka vidole vinavibrate vyenyewe nikitaipu[emoji39]
Kwahiyo ulivyopata mobiteli yako, ukaenda mjini kuinunulia dola [emoji23] [emoji23]

Ukirudi huku usisahau kuniletea mbege na kisusio aisee.
 
Back
Top Bottom