Njema kabisa.Habari ya siku Nsumba boy!
Mkuu kumbe ndo kijiwe chako ??Ndio naingia ivoo jirani usifunge kwanza
Mimi ni universal member, naingia popote isipokuwa kule panapohitaji ruhusu ya viranja wetu tu.Mkuu kumbe ndo kijiwe chako ??
Hahaha, teacher umesahau niko likizoWewe Mwl mwenzangu ulipotelea wapi? Hadi ukapotea na mwanafunzi wangu jje's
jje's tokea amilikiwe na Kichwa kichafu ndo katoweka kabisa.
Hahahaha na mm kule viranja walinigomeaa kuingiaaMimi ni universal member, naingia popote isipokuwa kule panapohitaji ruhusu ya viranja wetu tu.
KaribuuuHodii!
Nipo.Vyuma!Njema kabisa.
Habari za kupotea
Bado kuna terminology nyingi sana kule Jeshini. Kuna moja inaitwa all fire available. Huwa inatolewa pale ambapo unagusa maslahi ya maisha yao na wakati hawana namna ya kufanya zaidi ya kujiokoa. Usiombe siku hiyo ikuangukie!Hahaha hapo najua ujanja wote unaishia mfukoni![]()
unaweza ukapata hasara usiyoihitaji. Kwa hiyo basi "Usilitaje bure jina la Maserati, maana siku ukimteka ghadhabu na adhabu zitakuwa juu yako!"Hahaha, teacher umesahau niko likizojje's tokea amilikiwe na Kichwa kichafu ndo katoweka kabisa.
Haya sasa hebu niambie mwanafunzi wangu Thad ulipomficha![]()
Hebu tusubiri akija atuambie kama mtakatifu alimshushia upako ama vipi!Ooho!! Kama kweli simchezo
KaribuHodii!
Karibuuu
Na kwako pia komrediNawatakia sikukuu njema ya x-mass
Shukran kiongozi. Ulipotelea wapi?Na kwako pia komredi
Karibu, gonga taratibu humu ndani kuna kitoto kichanga, ndo kwanza kina saa mojaHodii!
Subiri vyuma vilegee, watanielewa tuHahahaha na mm kule viranja walinigomeaa kuingiaa