Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,798
- 51,437
Huu nao ni udhalilishaji ,Dahan na Bantu Lady wapo uda ngani cityyy. Maana nimeona o Bantu Lady ana zungumzia hotel za darr mpaka nimeogopaaa
Huu nao ni udhalilishaji ,Dahan na Bantu Lady wapo uda ngani cityyy. Maana nimeona o Bantu Lady ana zungumzia hotel za darr mpaka nimeogopaaa
Mkuu nimemuomba radhi, na ilikuwa katika utani tu.Huu nao ni udhalilishaji ,
Iceberg9 Soma hii nilicho maanisha mkuuO Bantu Lady mi nimetania kuhusu Dahan bhana, maana national kaniuliza Yuko wapi??
Afu kuhusu kuogopa, nime maanisha, when can I have the so time to do so.
👉Sorry Kama nimekuuzi boss
👉I mean no malice to anyone
Mkuu futa hiyo post uliyo ni quote, ili Mambo yawe sawa Iceberg9Huu nao ni udhalilishaji ,
Poa kama umefanya hivyo ,lakini ni vyema uangalifu uwepo, tuko na fake id lakini mtu hawezi furahi kudhalilisha personality trait yake,Mkuu nimemuomba radhi, na ilikuwa katika utani tu.
🙏🙏, Mi ndo wa kuomba radhi, maana nilicho maanisha ni tofauti na nilichofanya🙏🙏💪Umetumia uungwana kuomba radhi
Nilisahau charger somewhere.. Mambo yakaishia hapoo😂😂
Afadhali madam Bantu Lady umwambie huyu Intelligent businessman asituchukulie poa et😂😂😂Katika maisha yangu sijawahi kudanga na sitakuja kudanga. Yaani hata mimi nifilisike, kazi nitoke, pesa za mafao nizimalize zote. Still nina familia yangu namshukuru Mungu kwa wao kuwa vizuri kuwekeza sehemu mbalimbali. So kwa uwezo wa Mungu sitakuja danga. I have God I have all...
Kuhusu hotels muulize Ankol National Anthem akwambie. Mimi kiasili niko so Romantic, so vitu kama hivyo ni vidogo kwangu. Na napenda vitu vizuri sababu naweza kuafford.
Intelligent businessman una lingine?
Wewe ni lidanga😁😁😎........ I mean no malice to anyoneAfadhali madam Bantu Lady umwambie huyu Intelligent businessman asituchukulie poa et😂😂😂
Anaendekeza mapenzi kumbe 😅Aisee chama Cha wezi kilitaka kumuacha ili ajifunze kutofautisha Kati ya kazi na mapenzi. Lofa Mzee wa kupambania
Yaani akikutana na mdada, badala ya kumuibia ye anaanza omba namba au kuforce kupiga kiss.Anaendekeza mapenzi kumbe 😅
Tukimuacha atafia kule. Maana hana mke, hana mtoto, hana mtu wa karibu 😅😅Uyo jamaa ni wakumuacha uko tu 😂
Wadau wanasema ningekuacha 😅😅Asante sana bro. Moto ni ule ule 🤣
👉Panga mkononi
👉Roho begani
Repeat 😂😂😂ongeza sauti piaWewe ni lidanga😁😁😎........ I mean no malice to anyone
Kwa mtindo huo, hawezi toboa kwenye ili game 😅Yaani akikutana na mdada, badala ya kumuibia ye anaanza omba namba au kuforce kupiga kiss.
Wanataka nikale kwao?😀Wadau wanasema ningekuacha 😅😅
😅😅😅😅 Itakuwa wanamtaka demu wakoWanataka nikale kwao?😀
Mayai ya kienyeji au ya kisasa? Niweke alafu niunywe wote huo mchanganyiko ama?@fydell Kuna Mambo Kama matatu.👉uamuzi binafsi
👉Chukua mayai mabichi 3, week kwenye pombe. Basi hutorudia
👉Week maziwa ya mbuzi, ukirudie njoo unipige makofi
Nilisahau charger somewhere.. Mambo yakaishia hapoo![]()