JamiiForums Usiku wa manane
Dahan na Bantu Lady wapo uda ngani cityyy. Maana nimeona o Bantu Lady ana zungumzia hotel za darr mpaka nimeogopaaa
Katika maisha yangu sijawahi kudanga na sitakuja kudanga. Yaani hata mimi nifilisike, kazi nitoke, pesa za mafao nizimalize zote. Still nina familia yangu namshukuru Mungu kwa wao kuwa vizuri kuwekeza sehemu mbalimbali. So kwa uwezo wa Mungu sitakuja danga. I have God I have all...

Kuhusu hotels muulize Ankol National Anthem akwambie. Mimi kiasili niko so Romantic, so vitu kama hivyo ni vidogo kwangu. Na napenda vitu vizuri sababu naweza kuafford.
Intelligent businessman una lingine?
 
Katika maisha yangu sijawahi kudanga na sitakuja kudanga. Yaani hata mimi nifilisike, kazi nitoke, pesa za mafao nizimalize zote. Still nina familia yangu namshukuru Mungu kwa wao kuwa vizuri kuwekeza sehemu mbalimbali. So kwa uwezo wa Mungu sitakuja danga. I have God I have all...

Kuhusu hotels muulize Ankol National Anthem akwambie. Mimi kiasili niko so Romantic, so vitu kama hivyo ni vidogo kwangu. Na napenda vitu vizuri sababu naweza kuafford.
Intelligent businessman una lingine?
Hotel lazima ubadirishe , sio kila siku unalala chumba kile kile.. keo naenda Malaika .. sema ndio naenda nalala mwenyewe 🤣🤣
 
O Bantu Lady mi nimetania kuhusu Dahan bhana, maana national kaniuliza Yuko wapi??

Afu kuhusu kuogopa, nime maanisha, when can I have the so time to do so.
👉Sorry Kama nimekuuzi boss
👉I mean no malice to anyone
Wala hujaniudhi babaa, kuna dinner mimi na shemeji yako ni vichaa wa dinner. Kuna kupumzika tu weekend get away. Ikifika Alhmisi unaulizwa, weekend unataka kwenda wapi? Sasa hapo unaangalia wapi hujaenda? Ndiyo unajikuta mmezunguka zote na mnazirudia.

Ama kwenda Bagamoyo, Zanzibar or akipata safari nje. Kuna watu wana hela sema muda ndiyo hawana acha tu. Mengine acha ninyamaze, nisimalize maneno. Intelligent businessman
 
Wala hujaniudhi babaa, kuna dinner mimi na shemeji yako ni vichaa wa dinner. Kuna kupumzika tu weekend get away. Ikifika Alhmisi unaulizwa, weekend unataka kwenda wapi? Sasa hapo unaangalia wapi hujaenda? Ndiyo unajikuta mmezunguka zote na mnazirudia.

Ama kwenda Bagamoyo, Zanzibar or akipata safari nje. Kuna watu wana hela sema muda ndiyo hawana acha tu. Mengine acha ninyamaze, nisimalize maneno. Intelligent businessman
Yap Bantu Lady Kuna watu pia nawajua au kuwaona wamefika extra mile aisee. Mtu Ana business take mpaka unawaza atake nini tena ila that's how life is.
👉Boss SI mtupe hata deals za kuwa wakata nyasi😎😁
 
Back
Top Bottom